Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE alishawahi kumwambia Capt. Komba kuwa jeshini sio mahali pa kuimba na kukata viuno, bali ni UKAKAMAVU, NIDHAMU na bidii KATIKA KUJENGA TAIFA ( UZALENDO ), kOMBA AKACHUKIA, NDIO MAANA ALIVYOKUFA SOKOINE, KOMBA HAKUMTUNGIA NYIMBO KAMA ALIVYOFANYA KWA VIONGOZI WENGINE.
 
Jamani sikusudii kuudhi mtu.Kwani uzalendo ni upi hasa? Mbona yeye anasahau kusemea matatizo ya watu wake anauchapa usingizi bungeni? Huo ndo uzalendo? Kupokea malipo ya kazi usizofanya? Ningefarijika kama angeongea mwingine, siyo Komba.
Kwa kifupi mi siyo mfuasi mzuri wa unafiki. Ifikie wakati tuamue kuwa waadilifu, au tuache kuongea kwa kujipendekezapendekeza. When it comes to maslahi ya waTanzania tuache upuuzi wa itikadi tuangalie ukweli. Its a shame kuendelea kukubatia uchafu bila haya then unataka watu wakuheshimu. Its a shame.

Jamani inatosha. Zihurumieni zetu
 
wabunge wanapenda kuuza sura na ndio wanahabari wanawapenda sana kuuzia habari zao.
Kusema ukweli kabisa, huyu namwona ni msanii bora sana.
Anna_Lupembe.jpg


Kuimba na kucheza ngoma.

297146_2385598368042_1104571727_n.jpg


5.jpg


Mambo ya leisure

8.jpg


Kuwa active bungeni
 
Kwa bahati mbaya vijana wa kileo wanatishwa na wanasiasa aina ya Komba kwasababu waliwahi fanya kazi ya siasa jeshini na wakapewa vyeo vya kijeshi enzi hizo za chama kushika hatamu. Hivi mbele ya Lut. Gen(rtd). Sayore, Komba anaweza jinasibu eti naye ni mjeshi?
 
apeleke mimba yake labour huko!tumbo kubwa kuzidi ubongo ndio maana anaakili mgando!kazi kukapapasa kalulu kawa2!zee zinzi hili!tundulissu hawezi kukubali kuona sheria nakanuni inapindishwa nayeye anatazama lazima akemee!nandio ueledi washeri.m2 hajui kitu mwimba taarabu wa ccm 2!elimu duni,tumbo kubwaaaa full urafi naubinfsi,afu eti maendeleo!akatunge nyimbo zamisiba maana 2015 magamba wengi watakufa kwapresha ya M4C akiwemo yeye mwenyewe!
 
Komba ameshauri wabunge wanaochochea vurugu hapa nchini waende jeshini wakajifunze uzalendo waache kuhubiri siasa za ubaguzi. akatolea mfano wa mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu ambaye mara kadhaa amekuwa akiingia katika mgogoro na bunge kwa kusababisha vurugu na kutoweka kwa amani katika chombo hicho cha kutungia sheria za nchi.

Akaenda mbali na kusema kuna wabunge wanapenda kuuza sura na ndio wanahabari wanawapenda sana kuuzia habari zao.

Amevikemea vyombo vya habari kwa kuwa chanzo cha kukosekana kwa amani ya nchi kwa kuandika habari za udaku na vurugu na badala ya kuandika habari za maendeleo.



Yeye Komba kachangia maendeleo gani hapa nchini zaidi ya kuimba kwaya na ngonjera za propaganda na kumpiga miti mtoto Lulu huku akimjengea nyumba kwa hela za walipa kodi. Tatizo la hawa wabunge vihiyo ni uwoga wa kusemwa, hawataki watu waseme habari zao za kijinga. Tanzania ya sasa si ile ya mwaka 1947, yaani uwongo mwingi vitendo ziro, watu wamehamka na tunataka mapinduzi si ujinga na upuuzi wa kutaka kulazimisha watu wawe wazalendo kwa kusifia CCM wakati CCM hiyo hiyo haina nia nzuri na wananchi wake. Tumechoka, JF lete mapinduzi ndani ya nchi yetu.
 
Kusema ukweli kabisa, huyu namwona ni msanii bora sana.
Anna_Lupembe.jpg


Kuimba na kucheza ngoma.

297146_2385598368042_1104571727_n.jpg


5.jpg


Mambo ya leisure

8.jpg


Kuwa active bungeni


Haya ndiyo hataki yaandikwe. Yeye anataka kulala bungeni huku akiwaza Lulu na watoto wengine wa watu jinsi atakavyo wajengea nyumba kwa hela zetu (walipa kodi).
 
HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE alishawahi kumwambia Capt. Komba kuwa jeshini sio mahali pa kuimba na kukata viuno, bali ni UKAKAMAVU, NIDHAMU na bidii KATIKA KUJENGA TAIFA ( UZALENDO ), kOMBA AKACHUKIA, NDIO MAANA ALIVYOKUFA SOKOINE, KOMBA HAKUMTUNGIA NYIMBO KAMA ALIVYOFANYA KWA VIONGOZI WENGINE.


You see my point? Huyu mtu hapendi kuambiwa ukweli. Haki ya Mungu JF ikifungwa ataitungia wimbo na mashairi kibao ya ngonjera huko bungeni kuikashifu JF na kuisifia serikali kwa kufanya jambo tukufu.
 
Tatizo kubwa la ccm hawataki kukosolewa na ndio maana wanawang'oa kucha na kuwatoa macho waandishi wa habari ila kiama chao kimefika wasubiri 2015 wataelewa tuu
 
bwanyeye hapo ni mish** tu! Kwel mzalendo
Huyo Komba kachoka kusinzia na ku..j....a..mb,......a hovyo humo mjengoni kaamua aongee hatakama ni pumba. hivi mafisadi wote na wang'oa meno yatembo si walikuwa jeshini na vyeoo vya juu sasa kwanini wanafanya ufisadi mchana kweupe au ndio uzalendo mpya wa macccm? VIVA CDM
 
Kama ukipitia jeshini.ndo unakuwa namna hiyo, basi ni.bora ambao hawakwenda huko, Komba anawadhalilisha wanajeshi..
 
Jamani inatosha. Zihurumieni zetu

Ndugu Polisi,

Asante kwa mchango wako.
Tumekuwa kimya sana mpaka tumefika hapa tulipo. Huenda ni kwa kuamini kuwa nao ni binadamu....huenda wataona haya hivi karibuni....labda wanaelewa ni bahati mbaya tuuu..... BUT it seems hawa wameshaona Wananchi ni wapumbavu kama miaka ya 70. Zamani hizo tuliweza kukaa kimya kwa sababu angalau walikuwa wanataka rasilimali na fedha zetu. Lakini wanakoenda sasa hawataki hata tuishi! Hawapendi hata tupate hewa...wanatamani tusingekuwepo ili wabaki wenyewe.Wanataka na uhai wetu!!!!!!!!!??

Hivi kuna aliyewahi kufikiria hata kwa sekunde chache kuwa wanapowapa taabu na kuwaua wananchi wanataka wamtawale nani. Wanafikiri baada ya kuwaweka "lupango" wote na kuwaua wanaobaki wataomba rushwa wapi? watapata wapi wa kumbambikia kesi? hii ni fikra ya chekechea kabisa!

Kuwahurumia hawa ni dhambi!
 
kamanda Lissu alishaenda Jkt mwka 1989-90.sijui komba anaongelea jeshi lipi? au mabwepande? Ila jeshini ni kwa ajili ya utii na ukakamavu tu na sio uzalendo.kipindi cha kambarage uzalendo ulikuwa 100%.
 
Uzalendo siku hizi akuna jeshini kila mtu jeshini anaangalia maslai yake binafsi,kungelikuwa na uzalendo Suma jkt kusingekuwa na ufisadi mkubwa kama ule!,uzalendo ulikuwa zamani enzi za mwalimu.
 
Komba hana mchango wowote bungeni kazi kulala tu na akichangia ni pumba tupu, arudi kwenye kwaya yake akaendeleze kuimba nyimbo za maombolezo na mipasho.
 
Haya, Mheshimiwa umeanzisha vita kwa kutumia mawe, ilhali unaishi kwenye nyumba ya vioo. Ngoja sasa umiminiwe mawe, ndio uzalendo huo wa kutumia kodi ya Watz, halafu unabadilisha kiti za mjengoni kuwa kitanda ? Kwanda wewe unatakiwa kulipia hapo uko Lodge.

hahaha jf is never boring
 
Back
Top Bottom