Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

297146_2385598368042_1104571727_n.jpg
hii mikao ya ki CCM bana yataka moyo kama my wife wako ni kada.
 
mkuu alikuwa kapteni wa geshiiiiiii tatizo kula kula
Hapana yeye alikuwa mwalimu wa shule ya msingi! Aidha alikuwa mwalimu mzuri sana wa kwaya na kuifanya shule aliyokuwa anafundisha kuwa inatoa burudani zuri sana katika sherehe za kitaifa, hivyo akaombwa na JKT kujiunga nao na kuanzisha kwaya. Hapo ndipo alipopewa cheo cha uluteni na baada ya kwaya yake kutia fora sana katika dhifa mbalimbali za kitaifa akapandishwa kuwa captain.

Ni vyeo vya jeshi akiwa JKT na pia kama kamisaa wa siasa jeshini! Wanasiasa wengi sana walipewa vyeo vya namna hiyo kama Luteni Makamba nk lakini si vyeo walivyovipata kwa umahiri wao jeshini bali kama wahamasishaji jeshini.

Vyeo vya namna hiyo havitolewi tena jeshini bali vinatokana na elimu, ujuzi na umahiri!
 
Kwa nini asimshauri LULU aende shule kwanza kuliko kumuharibu?

images

Komba, huu ndi uzalendo wa jeshini??

Kama ni kweli ni heri ya Tundu lissu mara kumi kuliko wewe une lala na wajukuu zako,shame on you.
 
Jkt ni pamoja na ukakamavu wa mwili na akili by the way lisu alpitia jkt 1993 akili ya komba imelala!
 
hivi uzalendo unafundishwa eeh????hawa mafisadi wa kileo hawakupitia JKT enzi za mwalimu??????mbona hatuoni huo uzalendo wanao uzungumzia ktk matendo yao?????????????

Hivi ni lazima kila mbunge achangie hoja? Sidhani hivyo kwa sababu wako ambao tangu bunge la awamu hii lianze wako wabunge ambao hawajachangia hoja yo yote. Sasa watu kama kina Komba et al hawana cha kuzungumza kuhusu majimbo yao si wanyamaze waendelee kuuchapa usingizi? Hivi yeye amefaidika nini kuwa mwanajeshi kama anaweza kuchukua vijukuu vyake? Na je, kama ikitokea vita huyu captain anaweza kukimbia? Ni afadhali mtu asiende jeshini kuliko kwenda halafu ukawa na nidhamu ya hovyo kama ya Komba. 1. Ya kula bila mpangilio na 2. Kuchukua watoto wadogo wa kike saizi ya wajukuu zake. Wakati mwingine badala ya kusikiliza matusi ya akina Serukamba, Mkamia na L. Lusinde napendekeza wabunge wawe wanashindanishwa kwenye kuimba.:A S-omg:
 
Komba si ndo yule mzee mwenye Jitumbo na anapenda sana kulalala Bungeni na amkapo husema Ndiyo hata asifahamu nini kilikuwa kikiendelea.Yeye kumbe ni Kamptein wa nyimba za taarabu au kweli alikuwa jeshini na kama alikuwa huko jeshini kuna mwanajeshi gani anayelalala Mh Komba achunge sana ipo siku atalala sehhemu nyingine na akiamka awe keshasherehekewa na wajanja(TIGO)Kumbe pia jeshini alipanda uzalendo wa kutembea na vitoto vidogo vidogo badala ya kuviaambia viwahi shule yeye anavifundisha uzalenda alioupata jeshini wa kuvitafuna Lol!!mzee huyu ni janga la Taifa kwa underAge!!Sasa badala ya kumwambia Mh Tundu Lissu aende jeshini ni bora yeye ajisafishe kwa kutubu mbela ya Kanisa na wanchi kwa kutubu zambi hasa ile ya kuvujna amri ya sita na kitoto(Elizabeth Michael)AkA LuLU hapo nitamuelewa huyu mzee mwenye Tumbo kama si la Minyoo atakuwa na ugonjwa mwingine.
 
Amepotea njia huyu, aende kukata viuno tu maana ndio kikubwa alichojifunza akiwa jeshini, wenzake wanajifunza ukakamavu yeye anajifunza kukata viuno..!
 
Hivi ni lazima kila mbunge achangie hoja? Sidhani hivyo kwa sababu wako ambao tangu bunge la awamu hii lianze wako wabunge ambao hawajachangia hoja yo yote. Sasa watu kama kina Komba et al hawana cha kuzungumza kuhusu majimbo yao si wanyamaze waendelee kuuchapa usingizi? Hivi yeye amefaidika nini kuwa mwanajeshi kama anaweza kuchukua vijukuu vyake? Na je, kama ikitokea vita huyu captain anaweza kukimbia? Ni afadhali mtu asiende jeshini kuliko kwenda halafu ukawa na nidhamu ya hovyo kama ya Komba. 1. Ya kula bila mpangilio na 2. Kuchukua watoto wadogo wa kike saizi ya wajukuu zake. Wakati mwingine badala ya kusikiliza matusi ya akina Serukamba, Mkamia na L. Lusinde napendekeza wabunge wawe wanashindanishwa kwenye kuimba.:A S-omg:

mimi ningependa huyu komba aanze kwa kutuonyesha huo anaouita uzalendo kwanza? unafiki na ulevi wa chama kimoja unawatesa sana baadhi ya wanasiasa wa ccm, wameligeza bunge km part ya serikali, cuz now days bunge kazi yake kubwa ni kubariki kila kinacholetwa na serikali bila kuangalia upande wa wananchi wa kawaida unasemaje na yepi ndio mahitaji yao, kwa akili yao ndogo wanategemea kuwa ccm itawasaidia sana kurudi bungeni 2015 km ilivyokuwa ikifanya miaka ya nyuma kwa baadhi ya wabunge waliokuwa loyal kwa serikali wakati huo hawakubaliki majimboni mwao
 
afadhali wanauza sura kuliko yeye anayeuza tumbo!!
 
Kikwete si capteni wa jeshi ana uzalendo gani na nchi hii?miakataba 17 kwa siku moja amesaini na china,obama anakuja itakuwa zaidi ya hiyo 17.kuna uzalendo hapo?komba atoe stress zake.
 
Kama uzalendo ni kutembea na watoto wadogo basi anao sana,
kuna siku polisi mabati walikamata machangudoa pale mtaani katika hao alikwepo kabinti flani kadogo halafu kalikua kachafu kwa muonekano kuliko wengine,
Asubuhi wakati ndugu na jamaa wamekuja kuwatoa ndugu zao hako kabinti akaulizwa na ww ndugu zako wako wapi, akasema nimeshampigia simu baby wangu anakuja kunitoa, hamadi baada ya kama dakika 15 akifika mzee wa TOT akajakumtoa akaondoka naye kwenye gari.....
Hii nimeipenda mno!
 
Back
Top Bottom