Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,968
- 727
Viti vitatu kwa wakati mmoja wakati vimetengenezwa kukaliwa kimoja kwa wakati.....duh inawezekana hayo ndiyo mambo ya jeshini kuwa selfish kukalia viti vitatu peke yake.
Viti vitatu kwa wakati mmoja wakati vimetengenezwa kukaliwa kimoja kwa wakati.....duh inawezekana hayo ndiyo mambo ya jeshini kuwa selfish kukalia viti vitatu peke yake.
ndio hoja yako hii??? punguza njaa bhana
Tujiulize Lowasa, Kikwete, Kinana, Shimbo hawakupita jeshini hata kidogo...
Mh! Hapo alipoweka mkono wa kulia ndo penye uzalendo wa jeshi.
Kwa nini asimshauri LULU aende shule kwanza kuliko kumuharibu?
![]()
Komba, huu ndi uzalendo wa jeshini??
Huyu baba ni mzinzi sijawahi ona..mara nyingi huwa tunagongana pale sinza blue rose inn hahahaMh! Hapo alipoweka mkono wa kulia ndo penye uzalendo wa jeshi.
Komba ameshauri wabunge wanaochochea vurugu hapa nchini waende jeshini wakajifunze uzalendo waache kuhubiri siasa za ubaguzi. akatolea mfano wa mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu ambaye mara kadhaa amekuwa akiingia katika mgogoro na bunge kwa kusababisha vurugu na kutoweka kwa amani katika chombo hicho cha kutungia sheria za nchi.
Akaenda mbali na kusema kuna wabunge wanapenda kuuza sura na ndio wanahabari wanawapenda sana kuuzia habari zao.
Amevikemea vyombo vya habari kwa kuwa chanzo cha kukosekana kwa amani ya nchi kwa kuandika habari za udaku na vurugu na badala ya kuandika habari za maendeleo.
Kwa nini asimshauri LULU aende shule kwanza kuliko kumuharibu?
![]()
Komba, huu ndi uzalendo wa jeshini??
Uongo kwa mpumbavu ni ukweli. Tafakari kwa kina.Komba unastahili sifa kwa kuwa mkweli
Ha haaa.Hii forum huwaga haina dogo..Viti vitatu kwa wakati mmoja wakati vimetengenezwa kukaliwa kimoja kwa wakati.....duh inawezekana hayo ndiyo mambo ya jeshini kuwa selfish kukalia viti vitatu peke yake.