FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Babu yao.
Tutajuaje unayo maarifa kama tunakuona HUYATUMII hayo maarifa?
Tutajuaje unayo maarifa kama tunakuona HUYATUMII hayo maarifa?
Dah! Ila kuna vigezo gani vya kuita watu kama hawajui lugha kama kingereza?
Ni kwa mujibu wa utashi wako. Kanumba ameitwa na wao na wala si kwa vigezo mnavyovijua nyie. Mbona mmemwita Max...mo kuwafundisha wachezaji wenu ilhali hata kiingereza chake matata. Nafikiri wanaodhani kujua kiingereza ndo usomi mmechemsha. Tena mjue kuwa Kiingereza ni sawa na lugha yoyote duniani, ni kwa ajili ya kuwasiliana zaidi. Iwapo angeenda bubu mngesemaje?
Ninavyojua mimi pale BBA siyo uwanja wa mashindano ya kuongea Kiingereza, lakini mtu anayepelekwa pale anategemewa awe na uwezo wa kawaida wa kuongea lugha hiyo ili wenzake wamwelewe na sisi tulio kwenye runinga tuweze kumwelewa. Yaani awe na uwezo wa kuwasiliana vizuri kwa kuongea (na ujue hii ndiyo njia kuu ya mawasiliano - oral communication). Mtu anaposhindwa kuwasiliana kwa kuongea (na kwa hapa Kiingereza) basi anakuwa ameshindwa kwa kiwango cha hali ya juu kufikisha ujumbe wake (maarifa/ujuzi/elimu/ufahamu wake).Mimi sidhani kwamba Richard was the best English Language speaker in the previous BBA lakini aliweza kunyakuwa kitita. So kwa Kanumba kutofahamu vyema Kingereza kwangu it is not a big deal provided anaweza ku deliver. Kwasababu sisi siyo judges, its better we accord him our support. Waliomchagua kuingia in the house no better than us what is within Mr Kanumba
Mimi sidhani kwamba Richard was the best English Language speaker in the previous BBA lakini aliweza kunyakuwa kitita. So kwa Kanumba kutofahamu vyema Kingereza kwangu it is not a big deal provided anaweza ku deliver. Kwasababu sisi siyo judges, its better we accord him our support. Waliomchagua kuingia in the house no better than us what is within Mr Kanumba
Ninavyojua mimi pale BBA siyo uwanja wa mashindano ya kuongea Kiingereza, lakini mtu anayepelekwa pale anategemewa awe na uwezo wa kawaida wa kuongea lugha hiyo ili wenzake wamwelewe na sisi tulio kwenye runinga tuweze kumwelewa. Yaani awe na uwezo wa kuwasiliana vizuri kwa kuongea (na ujue hii ndiyo njia kuu ya mawasiliano - oral communication). Mtu anaposhindwa kuwasiliana kwa kuongea (na kwa hapa Kiingereza) basi anakuwa ameshindwa kwa kiwango cha hali ya juu kufikisha ujumbe wake (maarifa/ujuzi/elimu/ufahamu wake).
Haya ndiyo yalimkuta Kanumba. Hakuweza kudeliver kwa sababu ya language barrier, si kwa sababu mambo hayafahamu lakini kwa sababu hawezi ku-transmit hiyo knowledge kwa wengine hata kama anaifahamu. Ndiyo maana tunamshangaa kwa nini alikubali mwaliko huo! Na wale waliompeleka hawakujua shida yake hiyo?[/QUOTE]
They wanted to make him a laughing stock, remember its a reality TV show. So far they achieved their primary objective.
Kwanini unanirudisha humu? nilishasema naondoka. Ila watu kama nyie mnanifanya nirudi na kuchangia. Umeandika POINTS tupu kaka. Be blessed!
tanzanians,irrespective of what we think,the bottom line is WHOEVER is flying the flag,be it in beauty pageants,sports etc carries on his/her shoulders the image of the nation-now the moment we dismiss occurings which drag the flag at half mast we iare diong injustices to our selves and in the long run stalling our advancement in the given fields-it is having this in mind that every progressive minded tanzanian should condemn strongly KANUMBA presence albeit temporary in the BB house
Mimi sidhani kwamba Richard was the best English Language speaker in the previous BBA lakini aliweza kunyakuwa kitita. So kwa Kanumba kutofahamu vyema Kingereza kwangu it is not a big deal provided anaweza ku deliver. Kwasababu sisi siyo judges, its better we accord him our support. Waliomchagua kuingia in the house no better than us what is within Mr Kanumba
Wacha azisake hizo dola bana, anaweza furukuta akazibeba kama Richard ati.... Mwampamba na Richard wote hawakuwa na cha maana lakini waliyawezea...mmmh humo jumbani pawenyewe bwana.... Kila la heri Kanumba.
Kiingereza sio our mother tongue, tangu tunazaliwa tunazungumza kama si lugha ya baba na mama, basi ni kiswahili kwa kwenda mbele. Hapa ni vyema waandaaji wakaangalia vyema vigezo vyao vya mwakilishi katika shindano hilo, ila kwa ninavyowafahamu wabongo atagangamala mpaka kitaeleweka tuu.
sasa hao ma housemates unawakaribisha kwa KISWAHILI au?big up mkuu...hata hivyo kanumba si mshiriki katika BBA bali alikuwa pale katika sherehe ya kufungua hiyo program na kukaribisha housemates....
Mitoto inatoa EXCUSES za kitoto eti sio lugha yetu sijui vile, kama unajua hujui unaenda kufanya nini?. Shame on all of you who supported Kanumba's presence in that House.
Mitoto inatoa EXCUSES za kitoto eti sio lugha yetu sijui vile, kama unajua hujui unaenda kufanya nini?. Shame on all of you who supported Kanumba's presence in that House.
shame on you with a colonial master's thinking.......