Kanumba ndani ya Big Brother House 2009

Hakuna hata anayemuonea wivu, yeye ana nini haswaa hadi watu wamuonee wivu? Cha msingi akubali kwamba alishindwa kuelewa vizuri baadhi ya maneno.
 
Aya bwana wengine wanasema kiingereza kwa wabongo ni janga la kitaifa sasa wakulaumiwa nani? mtu yeyote asiye na mazoea ya kuongea kiingereza au kukitumia mara kwa mara yanaweza kumkuta ya Kanumba na sisi wabongo ndio hivyo tena......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom