Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Jamani hakuna mahari maalumu pakumuona umpendae. Pia hakuna mahali maalumu palipo ainishwa pakuanzishia mausiano, bali sehemu na namna yoyote inaweza faa kuanzisha mausiano ilimradi tu umemuona umpendae.

Hivi karibuni niliona picha (profile picture) ya msichana mrembo katika akaunti ya mmoja kati ya watu waliomo humu JF. Kiukweli ile picha ilinivutia sana, hivyo nikaona ni vyema nimtafute uyo dada ili nimueleze yangu ya moyoni.

Cha kustajabisha niliambulia matusi makubwa makubwa huku akiniuliza kwa lugha ya ukali "We bwege nani kakuambia mimi ni mwanamke? au umetumwa kunifatilia?", "unikom.. mimi ni mwanaume.. sio mwanamke kama unavyofikiria"

Baada ya majibu hayo nilielewa kuwa kumbe ni mwanaume ila ameweka picha ya msichana. Nilimjibu kwa kumuambia picha ulioweka ndio iliosababisha nijue wewe ni mwanamke. Lakini sikuishia hapo nilimuomba samahani!

Jamani katika hilo mimi ninakosa gani mpaka nitukanwe kiasi hicho?
mkuu mrudie ten mwambie akupe contacts za mwenye hio picha alioweka basi
 
Jifunze kumtongoza mtu unaemuona uso kwa uso achana na mambo ya kuangalia picha.
 
Mkuu umeadimika sana sana...Naantombe Mhshi...sijui ulishapata Nchi ya Kwenda Kuishi?
We na wewe acha mambo ya ajabu unatuaibisha wanaume. Yaani ukiona picha tu akili zimekuruka? Mbona huku kitaa warembo wamejaa na hawaijui hata JF? Kwenye mtandao wa kijamii kuna drama nyingi sio sehem sahihi ya kutafuta wanawake.
 
yaani siamini kama kuna ke hata mmoja humu.. yote ni madume humu yanajifanya majike!... narudia tena.. Hakuna jike humu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom