Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Jamani hakuna mahari maalumu pakumuona umpendae. Pia hakuna mahali maalumu palipo ainishwa pakuanzishia mausiano, bali sehemu na namna yoyote inaweza faa kuanzisha mausiano ilimradi tu umemuona umpendae.

Hivi karibuni niliona picha (profile picture) ya msichana mrembo katika akaunti ya mmoja kati ya watu waliomo humu JF. Kiukweli ile picha ilinivutia sana, hivyo nikaona ni vyema nimtafute uyo dada ili nimueleze yangu ya moyoni.

Cha kustajabisha niliambulia matusi makubwa makubwa huku akiniuliza kwa lugha ya ukali "We bwege nani kakuambia mimi ni mwanamke? au umetumwa kunifatilia?", "unikom.. mimi ni mwanaume.. sio mwanamke kama unavyofikiria"

Baada ya majibu hayo nilielewa kuwa kumbe ni mwanaume ila ameweka picha ya msichana. Nilimjibu kwa kumuambia picha ulioweka ndio iliosababisha nijue wewe ni mwanamke. Lakini sikuishia hapo nilimuomba samahani!

Jamani katika hilo mimi ninakosa gani mpaka nitukanwe kiasi hicho?

Ha ha ha ha ha ha, pole sana aisee jaribu kuwa maamuzi sahihi, hasa pale kichwa kidogo kinaposimama.....Maana mara nyingi kikisimama, kikubwa hakifanyi kazi
 
Jamani hakuna mahari maalumu pakumuona umpendae. Pia hakuna mahali maalumu palipo ainishwa pakuanzishia mausiano, bali sehemu na namna yoyote inaweza faa kuanzisha mausiano ilimradi tu umemuona umpendae.

Hivi karibuni niliona picha (profile picture) ya msichana mrembo katika akaunti ya mmoja kati ya watu waliomo humu JF. Kiukweli ile picha ilinivutia sana, hivyo nikaona ni vyema nimtafute uyo dada ili nimueleze yangu ya moyoni.

Cha kustajabisha niliambulia matusi makubwa makubwa huku akiniuliza kwa lugha ya ukali "We bwege nani kakuambia mimi ni mwanamke? au umetumwa kunifatilia?", "unikom.. mimi ni mwanaume.. sio mwanamke kama unavyofikiria"

Baada ya majibu hayo nilielewa kuwa kumbe ni mwanaume ila ameweka picha ya msichana. Nilimjibu kwa kumuambia picha ulioweka ndio iliosababisha nijue wewe ni mwanamke. Lakini sikuishia hapo nilimuomba samahani!

Jamani katika hilo mimi ninakosa gani mpaka nitukanwe kiasi hicho?



Constructive thought,........................nianze kwa kukupa pole sana na maswahiba hayo. Nilichojifunza kwako ni ujasiri wako wa kusema ukweli pamoja na kuwa umetukanwa...................................Sisi wengine tuliotukanwa tumebaki kukaa kimya na matusi yetu kifuani pamoja na maumivu juu........................................ila wewe umekuwa jasiri na kusema ukweli na kuomba radhi.......................................Hongera sana....................Alafu hata aliyekutukana naye baada ya kusoma huo uzi wako anajisikia vibaya sana...........................................sasa muhimu ni kumsamehe kwani hakuna kitu kibaya kama kujiadhibu mwenyewe....................................................Kwa vile wewe ni mwanaume rijali,....................................basi ujue hiyo ni ajali kazini kama ajali nyingine.....................................Mwisho,uzi wako ni fundisho na pia ni burudani sana. Kama umetunga hii story ujue unakipaji kikubwa sana cha kutunga story ma ikavutia wengi..................................................................................navuta picha mwanaume unakutana na mwanaume mwenzio tena akiwa na ndevu badala ya mrembo kama ulivyomzimia,hakika wanaume tumeumbwa mateso,............................Kwa mwendo huu wa sasa,watu wameadhirika sana na swala la kufuatiliana ndo maana jamaa kawa mkali na kukuonya kuwa usimfuatilie akijua wewe ni walewale wasiojulikana........................................................................................kwenye huu uzi wako kuna mengi ya kujifunza,jiulize pia kwanini jamaa aweke picha ya demu kwenye profile yake,atakuwa katongozwa mara ngapi,....................................................labda no chanzo cha hayo matusi yake,..................................................Labda nawe badili uweke profile yenye picha ya kike na we upate wasaa wa kuona jinsi gani wanaume wanavyotongoza wanawake alafu upime yale matusi uliyotukanwa kama ni stahili yako au yalikuwa machache..........................................................niishie hapo Mkuu illa hata jina lako lenyewe lina sema wewe ni matu wa nanmna gani

Wasalaam,

Mwenzetu
 
Kwani Mkuu matusi aliyokutukana amekubandika USONI...

angekaa kimya halafu akubali mkutane then akupige Pumbu ungekuja kusimulia jeiefu.??? Shukuru tu mmemalizana kwa staili hio
 
Huku ni kwa ajili ya kupunguza stress tu,hayo mengine jaribu kuyatafuta katika ulimwengu unaokuzungukana,na kukutana na watu halisia.
 
Jamani hakuna mahari maalumu pakumuona umpendae. Pia hakuna mahali maalumu palipo ainishwa pakuanzishia mausiano, bali sehemu na namna yoyote inaweza faa kuanzisha mausiano ilimradi tu umemuona umpendae.

Hivi karibuni niliona picha (profile picture) ya msichana mrembo katika akaunti ya mmoja kati ya watu waliomo humu JF. Kiukweli ile picha ilinivutia sana, hivyo nikaona ni vyema nimtafute uyo dada ili nimueleze yangu ya moyoni.

Cha kustajabisha niliambulia matusi makubwa makubwa huku akiniuliza kwa lugha ya ukali "We bwege nani kakuambia mimi ni mwanamke? au umetumwa kunifatilia?", "unikom.. mimi ni mwanaume.. sio mwanamke kama unavyofikiria"

Baada ya majibu hayo nilielewa kuwa kumbe ni mwanaume ila ameweka picha ya msichana. Nilimjibu kwa kumuambia picha ulioweka ndio iliosababisha nijue wewe ni mwanamke. Lakini sikuishia hapo nilimuomba samahani!

Jamani katika hilo mimi ninakosa gani mpaka nitukanwe kiasi hicho?
Safi wewe ni malaya hujatulia siku ingine utaliwa tigo haya tulia wanawake wazuri kwanza hawatapoteza muda na watu wa humu wanavifaru vyao haya ila poa.
 
Hakuna mwananume anatumia sentensi ya unikome mkuu huyo ni mwanamke anakukazia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom