chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,432
- 21,347
Kama kuna heshima iliyobaki ya kanisa hili, basi imeshikwa na yule mchungaji wa kijitonyama, pamoja na kwaya ya kanisa Hilo, kwingine kote ni aibu.
Uongozi wa Askofu Shoo umezalisha migogoro Kila mahala, vurugu Kila mahala, nahisi kiatu Cha ukuu wa kanisa hakimtoshi.
Nashauri kikao Cha dharura kiitishwe kumfukuza kwenye kazi ya ukuu wa kanisa. Ameshindwa.
Uongozi wa Askofu Shoo umezalisha migogoro Kila mahala, vurugu Kila mahala, nahisi kiatu Cha ukuu wa kanisa hakimtoshi.
Nashauri kikao Cha dharura kiitishwe kumfukuza kwenye kazi ya ukuu wa kanisa. Ameshindwa.