hapana mkuu nimemfanyia mambo mengi sana nikipiga hesabu harakaharaka yaani ni pesa ya kununua kiwanja kabisa sidhani kama moyo wangu utaridhika nikimuacha hivihivi
kwani mkuu we hauna dini? Imeandikwa wapi kulipizana kisasi? Mwachie mungu atakulipa tuu chonde chonde!! Ila kaa ukijua kidumu alichopata atamwacha na atarudi tena kwako. Sasa jiandae kabsaaa mkuu afu utaniambia