bilachenga
Member
- Apr 6, 2014
- 36
- 9
haka ka andishi mi huwa nakaamini sana na ninakafanyia kazi.Don't take love too serious
haka ka andishi mi huwa nakaamini sana na ninakafanyia kazi.Don't take love too serious
hapana mkuu nimemfanyia mambo mengi sana nikipiga hesabu harakaharaka yaani ni pesa ya kununua kiwanja kabisa sidhani kama moyo wangu utaridhika nikimuacha hivihivi
mimi kwa umri niliyoishi duniani nimegunduwa wanaume malaghai na matapeli ndio huwa wanawezana vizuri na wanawake, sijawahi kulisikia tapeli lolote likilia kutendwa na mwanamke, nadhani hawa watu wana vipaji vya kipekee kabisa.
hapana mkuu,,nimemnunulia vitu vingi sana vya thamaniBrother! i wanna tell you something that "to4get the rong is the best revenge" (kusahau maudhi ndo njia nzuri ya kulipiza kisasi) nakuomba uachane nae jaribu kuwa busy ufanye yako.Najua huko aliko lazma nafsi itamsuta atakavyo ona ukokimya,lakni ukianza kila wakatikumfatilia ataona bado unashida nae.Naomb nkuulize kwani uliwahi kumnunulia kiwanja? maana nimesoma kama umeandika au?
hapana mkuu,,nimemnunulia vitu vingi sana vya thamani
hapana mkuu nimemfanyia mambo mengi sana nikipiga hesabu harakaharaka yaani ni pesa ya kununua kiwanja kabisa sidhani kama moyo wangu utaridhika nikimuacha hivihivi
simpendi tena na wala si wazi hizo properties dharau zake ndo hunifanya niwaze vyote nilivyomfanyia