Ndetirima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 1,008
- 790
hapana mkuu nimemfanyia mambo mengi sana nikipiga hesabu harakaharaka yaani ni pesa ya kununua kiwanja kabisa sidhani kama moyo wangu utaridhika nikimuacha hivihivi
Huo ni mshahara wa kufanya uzinzi kabla ya ndoa. Inakubidi umsamee ili unapotubu dhambi zako Mungu akusamehe na umuombe akupatie ambaye atakuwa mke mwema.