Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,539
bila hiyana nikaenda kumuona na nilimpa kila kitu anachohitaji mgonjwa sikutaka maongezi nikaondoka zangu hadi leo sijawasiliana nae coz ninahasira nae sana na ninataka nimfanyie kitu ambacho hatakisahau ili iwe fundisho au nyie wanajamvi mnanishauri nini?
hapo kwenye red ndio tatizo...hujaongea nae kupata conclusion ya maana...hata kama viashiria vipo...huwezi jua...pengine kasikia taarifa fulani juu yako..ww umeassume sababu ya kupata kazi na yeye analake moyoni..kaeni mjadili upate uchaguzi sahihi...