Kampuni za ujenzi zilivyokimbia kazi Gavao Same

Masikio Masikio

JF-Expert Member
Apr 12, 2023
1,840
3,376
Tarura wanatangaza tender location ni kupanua barabara ya changarawe kuanzia saweni juu mpaka gavao

Kabla ya kuomba kazi kampuni ya ujenzi inataenda kutembelea eneo husika ili kujirithisha sababu kuna habari za chini chini walizipata kwamba gavao hapafikiki kirahis

Safari inaanza wanaenda wanafika saweni chini kufika tu pale wenyeji wakawaambia gari mlilokuja nalo hamuwezi fika nalo gavao sababu barabara ni finyu sana na mbovu kupita maelezo magari yanayoweza kufika ni mfano wa zile stout za kizamani au boda boda ambayo ni elfu 20 kwa sehemu ya umbali wa kilomita 9

Katika maeneo yote ya upareni kutoka saweni chini mpaka saweni inaweza ikawa ndo sehemu ngumu kuliko hata chome au mbaga manka ule mlima umesimama na barabara imeenda sawa sawa na mlima ulivyosimama haijaenda kwa muundo wa s

Wakapanda gari ambalo linarakiwa kwenda gavao wakaenda wakafika gavao

Maisha ya gavao kuna watu wachache sana nyumba ziko mbalimbali sana ila ni wakarimu walifirahi sana kwamba barabara yao iko kwenye mpango wa kuongezwa wakiamini watu watakua tayari kwenda kuishi gavao ambako wengi wao wakiondoka hawarudi

Ile kazi makampuni mengi waliikataa kwa sababu utapandishaje vifaa gavao sababu hakuna barabara nzuri kuanzia saweni chini mapaka saweni juu laba barabara ya vunta inayoanzia headaru na inaenda mpaka mamba myamba ikikamilika inaweza chepushwa ikifika kirangare na kupelekwa gavao
 
Katika maeneo yote ya upareni kutoka saweni chini mpaka saweni inaweza ikawa ndo sehemu ngumu kuliko hata chome au mbaga manka ule mlima umesimama na barabara imeenda sawa sawa na mlima ulivyosimama haijaenda kwa muundo wa s
Kama yawezekana, Tuwekee picha ili tujionee hali halisi
 
Sema mwandiko wako hauna tofauti na hiyo barabara unayoiongelea. Mwambie client aongeza hela kazi apewe mchina, ni wataalam sana wa barabara za mazingira ya namna hiyo
 
Sina utalaamu wa hilo swala ila naona hio sababu yao ni ya kitoto sana,
Ina maana barabara mpya huwa zinajengwaje? Mana kama wanadai hawawez omba kisa hakuna bara bara je. Barabara mpya zinazopita milimani kama Kitonga zilije gwaje? Waache ujinga wafikirie zaidi na wafanye kazi, wasitake kazi za bata tu
 
Sina utalaamu wa hilo swala ila naona hio sababu yao ni ya kitoto sana,
Ina maana barabara mpya huwa zinajengwaje? Mana kama wanadai hawawez omba kisa hakuna bara bara je. Barabara mpya zinazopita milimani kama Kitonga zilije gwaje? Waache ujinga wafikirie zaidi na wafanye kazi, wasitake kazi za bata tu
We ni mtopokaji usiyejua chchote walaumu srekali yako kupitia tarura
Utapeleka greda la kuchongq barabara gavao nawakati bara ya saweni chini mpaka juu gari automatic hayawez kupanda na magari mawili hayawez pishana
 
Sema mwandiko wako hauna tofauti na hiyo barabara unayoiongelea. Mwambie client aongeza hela kazi apewe mchina, ni wataalam sana wa barabara za mazingira ya namna hiyo
Umetafuta weak point ya mwandiko ndo umeona uanze nayo mwanaume mzima una gubu
Unajua hata hio barabara iliyopo ni wananchi walijenga pekee yao kwa nguvu zao mpaka nyerere alienda kuwapongeza
 
Tatizo sio wao ni tarura wangetakiwa watengeneze barabara kuanzia sawen chini mpaka juu
TARURA inaendeshwa na vinyozi kwani?
Ni wahandisi. Walipaswa waanzie chini kwenda juu.

Kuna uwezekano hela imeliwa na sasa wanatumia technicalities kuzima meradi
 
Umetafuta weak point ya mwandiko ndo umeona uanze nayo mwanaume mzima una gubu
Unajua hata hio barabara iliyopo ni wananchi walijenga pekee yao kwa nguvu zao mpaka nyerere alienda kuwapongeza
Mpare punguza kisirani.kama mlichagua viongozi wasiojielewa hayo ndio matokeo yake kua na barabara zisizoeleweka.
 
Tarura wanatangaza tender location ni kupanua barabara ya changarawe kuanzia saweni juu mpaka gavao

Kabla ya kuomba kazi kampuni ya ujenzi inataenda kutembelea eneo husika ili kujirithisha sababu kuna habari za chini chini walizipata kwamba gavao hapafikiki kirahis

Safari inaanza wanaenda wanafika saweni chini kufika tu pale wenyeji wakawaambia gari mlilokuja nalo hamuwezi fika nalo gavao sababu barabara ni finyu sana na mbovu kupita maelezo magari yanayoweza kufika ni mfano wa zile stout za kizamani au boda boda ambayo ni elfu 20 kwa sehemu ya umbali wa kilomita 9

Katika maeneo yote ya upareni kutoka saweni chini mpaka saweni inaweza ikawa ndo sehemu ngumu kuliko hata chome au mbaga manka ule mlima umesimama na barabara imeenda sawa sawa na mlima ulivyosimama haijaenda kwa muundo wa s

Wakapanda gari ambalo linarakiwa kwenda gavao wakaenda wakafika gavao

Maisha ya gavao kuna watu wachache sana nyumba ziko mbalimbali sana ila ni wakarimu walifirahi sana kwamba barabara yao iko kwenye mpango wa kuongezwa wakiamini watu watakua tayari kwenda kuishi gavao ambako wengi wao wakiondoka hawarudi

Ile kazi makampuni mengi waliikataa kwa sababu utapandishaje vifaa gavao sababu hakuna barabara nzuri kuanzia saweni chini mapaka saweni juu laba barabara ya vunta inayoanzia headaru na inaenda mpaka mamba myamba ikikamilika inaweza chepushwa ikifika kirangare na kupelekwa gavao
Watafutwe wakandarasi wazoefu wa barabara za aina hizo.

Hiyo ndio kazi yao kujenga hiyo barabara lazima wazoe changamoto za aina hiyo.
 
Sema mwandiko wako hauna tofauti na hiyo barabara unayoiongelea. Mwambie client aongeza hela kazi apewe mchina, ni wataalam sana wa barabara za mazingira ya namna hiyo
Hao ndio makandarasi wa ndani wanaolalamika kunyimwa kazi kila mara huku wale wa kigeni hususan wachina wakipendelewa!

Kwa mwandiko huo kuna proposal ya maana kweli?
 
Hao ndio makandarasi wa ndani wanaolalamika kunyimwa kazi kila mara huku wale wa kigeni hususan wachina wakipendelewa!

Kwa mwandiko huo kuna proposal ya maana kweli?
Kwamba nikijaza tender documents ndo natumia mwandiko wa huku jamiiforum au kiswahili kule hawaangalii lugha bali kama umekidhi vigezo

Kwenye engineering hakuna proposal bali unajaza tender document pole sana kama ulikua hulijui hili
 
Watafutwe wakandarasi wazoefu wa barabara za aina hizo.

Hiyo ndio kazi yao kujenga hiyo barabara lazima wazoe changamoto za aina hiyo.
Swala sio wakandarasi wa wazoevu swala ni ela ndogo
Nikukumbushe barabara nyingi za uko upareni zilichimbwa na mkono kupitia msaragambo kama wananchi waliweza kwa mkono miaka hio ya 1950's kuja mbele
Bado unaamini ni uzoefu

Jiulize kwanini ni miaka 60 ya uhuru na bado miundombinu ya Tanzania bado ni mibovu kwa kiasi kikubwa sana tatizo ni fedha
 
Back
Top Bottom