Kampuni za Simu na Siri zetu

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
Jamani

Leo katika mambo mengine kuna mtu aliniuliza niko wapi nikamwambia akawa anabisha katika huo ubishi akaenda kwa jamaa zake wa kampuni za simu kuchunguza akaambiwa ukweli kuhusu eneo nililokwepo huko kwenye kampuni za simu

Sasa bado nina wasi wasi na kampuni hizi za simu kuhusu utendaji wao na mamlaka waliyonayo mpaka kuamua kutoa siri za wateja wao popote walipo bila idhini ya mteja mwenyewe na bila mpango wowote ule

Nimesikitika sana kwa kitendo hichi na nimehuzunika sana kwa suala hili

YAANI PAMOJA NA KUTUMIA MAMBO YOTE HAYA WANATOA SIRI ZETU NA MAMBO YETU MENGINE KWA WATU WENGINE AMBAO HATA HAYAWAHUSU KIVIPI ? KWA MPANGO GANI ??
 
Pole Shy. Hapo ndipo nami ninapata shida kuhusu employment ethics, confidentiality is of the highest priority katika hali zote. Unajua kwa sababu ya njaa za baadhi ya watumishi wakipewa vijisenti kidogo tu wanatoa siri. Basi Shy kwa Tz mtu akitaka kupata mawasiliano ya mume au mke pale ambapo mmojawapo anahisi kuna ufirauni kati yao basi ni kuwapa pesa tu wafanyakazi wa coy za simu, wata print mawasiliano yako yote na utaumbuka kikweli hasa.

Kwa upande wa kujua sehemu uliko wanatumia tu freguency na wavelength zao na wanajua kabisa unakaaa wapi. Kule kwenye mitambo kuna geography yote ambapo mitambo yao inaweza kuruka(inaonekana katika satellite). Pia hata katika internet is not safe. Hata hapa ninapoandika ni kuwa wakitaka kuni tress watanipata thru satellite. Hata hivyo siogopi kwa kuwa nafahamu I speak out the truth na anayekerwa anitafute tu. No security katika mitandao at all!!!!
 
Pole sana na nakubaliana na wewe kuwa sio poa kuwekw mambo ya mtu kwa hadhara kwani hayawahusu.
Ila kutokana na hizi simu tunadanganyana kinoma so tuache uongo.
 
Pole sana na nakubaliana na wewe kuwa sio poa kuweka mambo ya mtu kwa hadhara kwani hayawahusu.
Ila kutokana na hizi simu tunadanganyana kinoma so tuache uongo.
 
Jamani

Leo katika mambo mengine kuna mtu aliniuliza niko wapi nikamwambia akawa anabisha katika huo ubishi akaenda kwa jamaa zake wa kampuni za simu kuchunguza akaambiwa ukweli kuhusu eneo nililokwepo huko kwenye kampuni za simu

Sasa bado nina wasi wasi na kampuni hizi za simu kuhusu utendaji wao na mamlaka waliyonayo mpaka kuamua kutoa siri za wateja wao popote walipo bila idhini ya mteja mwenyewe na bila mpango wowote ule

Nimesikitika sana kwa kitendo hichi na nimehuzunika sana kwa suala hili

YAANI PAMOJA NA KUTUMIA MAMBO YOTE HAYA WANATOA SIRI ZETU NA MAMBO YETU MENGINE KWA WATU WENGINE AMBAO HATA HAYAWAHUSU KIVIPI ? KWA MPANGO GANI ??


Anyway hiyo inawezekana kabisa. Lakini nina mashaka kidogo kuhusu status ya huyo mtu na umakini wa hiyo kampuni ya simu. Kwanza ni kampuni gani haswa inayofanya utumbo huo !?

Maana kwa sheria ya haki za faragha( law of privacy) , hawakutakiwa kutoa siri zako kwa mtu yeyeto yule bila ya kufuata utaratibu maalum uliowekwa na sheria hii. Ndio tunajua hata hizi sms zote tunazotuma kwa kupitia mobile phone na hata e-mail huwa zinahifadhiwa kwanza kwenye mitambo kabla ya kuwa deleted. Mtu anaweza kzipata hata sms zako za mwezi mzima ulizo tuma au kutumiwa !

Ndio nataka kujua hilo shirika la simu ambalo linaweza likatoa siri za mteja wao kwa mtu yeyote kana kwamba hawajui kama kuna sheria ya haki ya kutunziwa siri. Embu tupe haswa uhalisia wa tatizo lenyewe.
 
Nimeshapeleka email kwa watu wanaohusika na mawasiliano katika tume yao naamini watanijibu kwa sasa natafuta kuweza kuonana na mwanasheria ili kuweze kumweleza jambo hili muhimu sana naamini katika vyombo vya sheria tutaweza kupata suluhisho la tabia hii chafu

hili jambo limenishitua sana na kunisikitisha sana sijawahi kuwa na siku chungu kama leo hii katika maisha yangu
 
Anyway hiyo inawezekana kabisa. Lakini nina mashaka kidogo kuhusu status ya huyo mtu na umakini wa hiyo kampuni ya simu. Kwanza ni kampuni gani haswa inayofanya utumbo huo !?

Maana kwa sheria ya haki za faragha( law of privacy) , hawakutakiwa kutoa siri zako kwa mtu yeyeto yule bila ya kufuata utaratibu maalum uliowekwa na sheria hii. Ndio tunajua hata hizi sms zote tunazotuma kwa kupitia mobile phone na hata e-mail huwa zinahifadhiwa kwanza kwenye mitambo kabla ya kuwa deleted. Mtu anaweza kzipata hata sms zako za mwezi mzima ulizo tuma au kutumiwa !

Ndio nataka kujua hilo shirika la simu ambalo linaweza likatoa siri za mteja wao kwa mtu yeyote kana kwamba hawajui kama kuna sheria ya haki ya kutunziwa siri. Embu tupe haswa uhalisia wa tatizo lenyewe.
 
Nilikuwa online then mtu mmoja akanitumia im kuniuliza nipo wapi kwa muda huo sikumwambia nikamwambia niko mbali kidogo nikamtajia na eneo akaniambia subiri kidogo

baada ya muda akauliza huko anapojua yeye akaniambia mbona simu yako inaonyesha uko sehemu fulani ?

Sasa nikashangaa sana kwanini taarifa zangu amezipata mapema sana na mimi bila kujulishwa manake mimi ni mteja wa kampuni hiyo haiwezekani aulize tu apewe kiurahisi hivyo
 
Nilikuwa online then mtu mmoja akanitumia im kuniuliza nipo wapi kwa muda huo sikumwambia nikamwambia niko mbali kidogo nikamtajia na eneo akaniambia subiri kidogo

baada ya muda akauliza huko anapojua yeye akaniambia mbona simu yako inaonyesha uko sehemu fulani ?

Sasa nikashangaa sana kwanini taarifa zangu amezipata mapema sana na mimi bila kujulishwa manake mimi ni mteja wa kampuni hiyo haiwezekani aulize tu apewe kiurahisi hivyo


Kama ni kweli huyo mtu alipata locational info zako kutoka kampuni ya simu basi tuna matatizo makubwa sana.

Hata hivyo nadhani ni reputational risk kubwa kudanganya kuhusu sehemu ulipo kama unayemdanganya hujui yupo wapi! Pengine alikuwa anakuona live and he/she wanted to test your level of integrity.
 
Nathani tunahitaji mdahalo mkubwa na wa kina kuhusu kitu hichi kwa kushirikiana na wadau wa kampuni hizi za simu
 
Nimeshapeleka email kwa watu wanaohusika na mawasiliano katika tume yao naamini watanijibu kwa sasa natafuta kuweza kuonana na mwanasheria ili kuweze kumweleza jambo hili muhimu sana naamini katika vyombo vya sheria tutaweza kupata suluhisho la tabia hii chafu

hili jambo limenishitua sana na kunisikitisha sana sijawahi kuwa na siku chungu kama leo hii katika maisha yangu
Acha uongo kijana,tafuta shule usome hata diploma kwanza.....
 
Text messages zinaweza kuwa diverged bongo, at a price.

Hubby akiwa na kimwa mama mwenye nyumba anaweza kuongea na wakuu wakawa wanamfowardia messages zote anazotuma hubby.
 
Text messages zinaweza kuwa diverged bongo, at a price.

Hubby akiwa na kimwa mama mwenye nyumba anaweza kuongea na wakuu wakawa wanamfowardia messages zote anazotuma hubby.

Kwa hiyo ndo maana siku ile......... yaani unataka kuniambia kuwa........ Lakini mbona.......... Mh..... hii tekinolojia mbona iko hivi lakini?
 
Nathani tunahitaji mdahalo mkubwa na wa kina kuhusu kitu hichi kwa kushirikiana na wadau wa kampuni hizi za simu

Hao wamekiuka maadili ya kazi yao.Wamekiuka pia masharti ya leseni(waliyopata kutoka TCRA) ya kutoa huduma hiyo.
Sasa basi,pale TCRA(pale mawasiliano house,along Ali hassan mwinyi road opp.Las Vegas Casino,kama hutaki hiyo basi Jolly club) kuna kitengo cha consumer and industry affairs(DCIA),pia kuna kamati(customer consultative committee,CCC).Hao wanashughulika na kulinda maslahi ya watumiaji wa huduma za mawasiliano nchini chini ya sheria ya mawasiliano ya mwaka 2003,sikumbuki kifungu!Peleka malalamiko yako huko na ushahidi (hapa ndio ipo shida).
Kwa maelezo zaidi(na kufahamu haki zako kuhusiana na huduma za mawasiliano nchini) tembelea TCRA|Tanzania Communications Regulatory Authority
 
Pole Shy.

Kwa upande wa kujua sehemu uliko wanatumia tu freguency na wavelength zao na wanajua kabisa unakaaa wapi. Kule kwenye mitambo kuna geography yote ambapo mitambo yao inaweza kuruka(inaonekana katika satellite). Pia hata katika internet is not safe. Hata hapa ninapoandika ni kuwa wakitaka kuni tress watanipata thru satellite. Hata hivyo siogopi kwa kuwa nafahamu I speak out the truth na anayekerwa anitafute tu. No security katika mitandao at all!!!!

Wakati mwingine kama haujui jinsi technolojia zinavyofanya kazi bora uache tu kuandika, kuliko kuandika utalaam wa vijiweni.
 
Wewe sema jamaa alikuwa anakuona alitaka ajue kama ulikuwa unamdanganya kwa maana waTZ wengi wanatabia ya kudanganya sana kwenye cmu mtu anakwambia nipo Mbezi kumbe yupo Magomeni.
Ndugu yangu Shy hata ulalamike haikusaidii kitu unapoteza muda wako bure we endelee na hamsini zako tu kama kawa.......
 
Back
Top Bottom