MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,480
Wasalaam wana JF
Nilikua nachangia kwenye uzi mmoja uliokua unajadili ulazima wa kuhifadhi number za simu za marehemu, nikawaza kwa maandishi, JE KUNA SABABU GANI YA KAMPUNI ZA SIMU KUTOA NAMBA ZA SIMU ZA MTUMBA?
Kwangu mimi, kumiliki number ya simu ya mtumba (iliyotumiwa na mtu mwingine aliye hai au aliyekufa) inaweza kukuweka kwenye mazingira yasiyo rafiki.
Nawaza tu, mathalani huyo mtu alikua ni kicheche au mkopaji sugu, unaweza ukapigiwa simu kibao na michepuko yake au wadai.
Nadhani kampuni za simu ziliangalie hili katika mapana yake. Kuna hesabu za probability tulifundishwa kwamba kwa idadi ya number tulizonanzo kwenye number zetu za simu, wanaweza wakaendelea kutoa number bila ya kurudia kwa miaka 100
Ikishindikana watuambie wateja kwamba hizi ni number mpya na hizi ni za mtumba (yaani zimetumika) ili mteja aweze kufanya an informed decision
Kama unabisha andamana
Nilikua nachangia kwenye uzi mmoja uliokua unajadili ulazima wa kuhifadhi number za simu za marehemu, nikawaza kwa maandishi, JE KUNA SABABU GANI YA KAMPUNI ZA SIMU KUTOA NAMBA ZA SIMU ZA MTUMBA?
Kwangu mimi, kumiliki number ya simu ya mtumba (iliyotumiwa na mtu mwingine aliye hai au aliyekufa) inaweza kukuweka kwenye mazingira yasiyo rafiki.
Nawaza tu, mathalani huyo mtu alikua ni kicheche au mkopaji sugu, unaweza ukapigiwa simu kibao na michepuko yake au wadai.
Nadhani kampuni za simu ziliangalie hili katika mapana yake. Kuna hesabu za probability tulifundishwa kwamba kwa idadi ya number tulizonanzo kwenye number zetu za simu, wanaweza wakaendelea kutoa number bila ya kurudia kwa miaka 100
Ikishindikana watuambie wateja kwamba hizi ni number mpya na hizi ni za mtumba (yaani zimetumika) ili mteja aweze kufanya an informed decision
Kama unabisha andamana