KERO Kampuni Ya Mabasi ABC upper class Mnakera Sana

KERO Kampuni Ya Mabasi ABC upper class Mnakera Sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hii kampuni haiko makini hasa kusafirisha mizigo, juzi ijumaa nimenunua taa, za kusafirisha mbeya, nimefika office za ABC
Wakaniambia kama nimebeba vitu vya kupasuka hawana dhamana ya mzigo
Wakaangalia mzigo wangu wakasema kwa thamani ya mzigo nilipe 55000, cha ajabu receipt ya machine ikatoka 45000, hii nlikuja ku notice baadaye
Mzigo umefika mbeya taa karibu zote zimevunjika


Kwa mfumo huu kweli hii kampuni itapoteza wateja wengi sana kwa kuendelea kupuuza mali za watu
 

Attachments

  • IMG-20250804-WA0011.jpg
    IMG-20250804-WA0011.jpg
    40.9 KB · Views: 5
  • IMG-20250804-WA0014.jpg
    IMG-20250804-WA0014.jpg
    33.5 KB · Views: 6
  • IMG-20250804-WA0000.jpg
    IMG-20250804-WA0000.jpg
    14.7 KB · Views: 8
Back
Top Bottom