Wanaume mnakera sana. Yani mtu anajua kabisa mwezi huu hajatuma hela ya matumizi Alaf anajikausha, unamkumbusha kwenye text mkiwa mnachat yeye anajibu sms nyingine hiyo anajifanya hajaiona unamtumia tena as a reminder anajibu oh I remember I will send . Anajikausha mpaka siku inaisha.
Ivi mna...
Za weekend?
Hivi mwanaume timamu kabisa mke wako kagombana huko na wanawake wenzake halafu wewe unaenda kuingilia ugomvi na kuanza kusutana na wanawake?
Kwanza mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kurushiana maneno na mtoto wa kike? Mpenzi wako akiudhiwa huko na marafiki zake wewe msaada unaoweza...
Wadau hivi Vodacom wanawezaje kutoa numba tofauti ya kuwasiliana nao mbali na Ile ya 100 ambayo inahudumiwa na robot tu wala huwezi ongea na mhudumu.
Na hii walivotoa kama mbadala 0754705000 sio free lazima uwe na salio na kama haitoshi unakaa hewani nusu saa na zaidi hamna mhudumu anapokea...
Frateri Mtanzania aliyekuwa ametekwa nchini Nigeria, Merikiori Mahinini pamoja na mwenzake raia wa Mali, Padre Paul Sanogo wameachiwa huru usiku wa kuamkia leo Alhamis Agosti 24, 2023, Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dk Benson Bana amethibitisha.
Mtanzania huyo ambaye pia ni frateri wa...
Vijana bhn yaani anatoka kwao ushaagoo kule ndani ndani anakuja Masaki anashangaa zile nyumba anaona kama kafika New York city 😂😂😂 Aisee ushamba mzgo
Wanashangaa vijana wadogo wenye magari makali anasema hao ni wachawi mafreemason au hizo Gari za familia ebo!
Fanyeni kazi bhn mpate madusko ili...
Wiki nzima mnatuma matangazo tangu asubuhi hadi usiku wa manane ni kama mmeajiri mtu anayemaliza kozi ya kutuma matangazo, anachoweza yeye ni kubonyeza bonyeza tu bila kujua athari anazosababisha kwa wateja
Haya ni baadhi ya matangazo mnayotumia wateja wenu wiki nzima kwa kujirudiarudia zaidi ya...
Nimepanda gari la jamaa yangu ameweka Radio zao hizi. Hawa jamaa wanakera matangazo yao yote ni Shule Shule Shule.
Inakera. Mara watu wa QT mara watu wa Ku "reseat" inakera Mara sijui Chuo gani, mara shule. Jamani mnabore sana. Matangazo hayana mvuto kabisa. Tafuteni na Matangazo mengine...
Nime recharge kifurushi hapa nicheki balance naambiwa niko na 3 GB za Boomplay ...
Boomplay itasaidia nini sasa ? Ondoeni huu upuuzi wa kuni convert Mbs zangu na kuzifanya za Boomplay
Hawa jamnaa ukienda kwa madirisha YAO unakuta madirasha yapo kama mannne hadi Matano lkn linalofanya kazi ni moja tu.
And the gui yuko hapo is like anawashwa anaingia anatolia. Yupo slowly kama funzaa
Shame on you NMB
Mimi ni mteja wenu hapa morogoro. Nilianza kuanza process za kuomba kuunganishiwa umeme toka December mwaka Jana.
Mwezi wa Tano nilifanikiwa kulipa huduma ya kupata umeme sehemu inaayohitaji nguzo Moja na nikapewa Muda wa mwezi mmoja Kuwa tayari nitakuwa nimeshafikiwa.
Mwezi ukapita, nikaenda...
Hii ni kama mara ya tatu inanitokea. Mara ya kwanza nilihisi labda nimekosea. Nikasema basi bahati mbaya nimekosea. Yapili tena nikashituka nikasema hapa nimepigwa. Hii ya tatu sasa nimeamini wanachofanya hawa jamaa ni utapeli kama utapeli mwingine.
Iko hivi,
Kabla sijajiunga na kifurushi huwa...
Binafsi nakerwa sana na watu wenye "line" lukuki za simu. Unakuta mtu ana line ya voda, tigo, airtel, zantel nk. Zote izo za kazi gani?? Matokeo yake kila ukimtafuta mtu utasikia mara..
"Nicheki kwenye airtel hiyo Voda haina chaji.."
"Nipigie namba ya tiGo, airtel nimeacha nyumbani"
"Hela...
Kwema ndugu zangu,
Bodaboda wana tabia za ajabu sana sijui kwanini.
Unaweza ukawa unatembea unashangaa wanakupigia honi.
Au upo njiani unatembea unashangaa boda huyu hapa "oya braza wapi" sasa nabaki najiuliza ina maana mimi sijui napokwenda au?
Leo nimeshuka kwenye gari akaja boda na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.