1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,969
- 13,848
hiz kampun kongwe huwa wanajikuta, mie nlishaacha kupanda kampun kongwe,, hizi mpya mpya zinajali sana wateja,,, nna basi langu pendwa , nawajua madereva wote, wahudumu wote,
nkitaka kusafiri napga simu tu, naekewa siti nzuri,, mastori kama kawa,, imefika hatua vimzigo vdogo vdogo nikitaka kulipia naambiwa kausha broO
nkitaka kusafiri napga simu tu, naekewa siti nzuri,, mastori kama kawa,, imefika hatua vimzigo vdogo vdogo nikitaka kulipia naambiwa kausha broO