#COVID19 Kampuni ya kutengeneza chanjo za COVID-19, Moderna inatarajia kuanza majaribio ya Chanjo za UKIMWI mwezi huu

Kwani na yenyewe mwendazake aliitilia mashaka? Shida ya hi ya corona, tuweni tu wa kweli, wataalamu wetu walichangia sana kuhusu haya mashaka ambayo kina Gwajima wanayasema sasa hivi, wanataka tu kumuangushia jumba bovu Gwajima but ukweli ni kwamba haya mambo yameanzia wizarani na Ikulu, wasitufanye wajinga. Wamefanya interview TBC, Wasafi na hata youtubes, kote huko clips zao zipo, leo wanataka kumlaumu askofu wa Ubungo? Watutake radhi kabisa
 
Ni jambo zuri sema mwanzoni ikianza kutumika kwa majaribio itawahangamiza sana watu.
Maana watu watajiachia kupita maelezo na wakati huo tutakuwa hatuna uhakika na nguvu yake ya kuzuia.

Haya yote huwa yamefanyiwa kazi, ndio maana kwenye crinical trials kuna phase na sub-phase. Zote zina ripoti ambazo hupitiwa na kukupa kibali cha kuendelea na utafiti.

Kama hakuna faida inayoonekana huwa utafiti unasitishwa.

Soma drug discovery and development.
 
Haya yote huwa yamefanyiwa kazi, ndio maana kwenye crinical trials kuna phase na sub-phase. Zote zina ripoti ambazo hupitiwa na kukupa kibali cha kuendelea na utafiti.

Kama hakuna faida inayoonekana huwa utafiti unasitishwa.

Soma drug discovery and development.
ooh kama ni hivyo sawa.
 
Hii ni approach mpya aliyokuja nayo beberu baada ya kuona chanjo ya UVIKO imegonga mwamba huku Afrika...........chanjo ya ukimwi ilitakiwa kuja miaka mingi sana kama dhamira yao ilikuwa njema. vinginevyo tujiandae kufanywa maabara za majaribio na watumiaji wa teknolojia mpya ya kupandikiza vinasaba kwa kisingizio cha chanjo. Natabiri miaka mitano mbele tutaanza kushuhudia binadamu wenye maumbile na tabia za ajabu ajabu yakiwemo mazombi, mashoga, matasa, mahanithi, madume-jike nk....
 
Back
Top Bottom