Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,863
Kwani na yenyewe mwendazake aliitilia mashaka? Shida ya hi ya corona, tuweni tu wa kweli, wataalamu wetu walichangia sana kuhusu haya mashaka ambayo kina Gwajima wanayasema sasa hivi, wanataka tu kumuangushia jumba bovu Gwajima but ukweli ni kwamba haya mambo yameanzia wizarani na Ikulu, wasitufanye wajinga. Wamefanya interview TBC, Wasafi na hata youtubes, kote huko clips zao zipo, leo wanataka kumlaumu askofu wa Ubungo? Watutake radhi kabisa