Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,123
- 173,977
Hawa ndio wanakufaga vibaya sanaUliyenaye ni mwaminifu Kama wewe au unajidanganya??
Hawa ndio wanakufaga vibaya sanaUliyenaye ni mwaminifu Kama wewe au unajidanganya??
Chanjo hio wailete hata mie nipo tayari kuwa shamba darasa😂Hiyo hata wakiambiwa wawe sehemu ya majaribio hayo watagombania kama kupanda daladala😂
Zile mipira za zamani za bure toka family plan ndo zilikuwa ziantembea balaa,ila hizi za kununua naona nyingi zinaozea Dukani hazina wateja sana.
Hapa ngozi nyeusi lazima waipate, jamaa wapo very strategic....Chanjo hio wailete hata mie nipo tayari kuwa shamba darasa😂
Chanjo hio wailete hata mie nipo tayari kuwa shamba darasa😂
Heheheheh hapo watatukamata kama kukuHapa ngozi nyeusi lazima waipate, jamaa wapo very strategic....
Eeh vifungashio vya msd vinakera vileIli uendelee na first class?
Hatutaki kwani hizo siku zote walikuwa wapi kuitambulisha hiyo chanjo ya ukimwi
😂😂😂😂😂😂😂😂 Gwajiboy akiwa mstari wa mbele 😂😂😂😂 huenda stock zikaisha mapema sanaHiyo Tutaigombania sana tena na hakuna mtu atakubali kuikosa 😄😄😄 UKIMWI umekaa pabaya sana
Sawa, hata hivo mimi ni bibi sio dadaVipi Dada tukafanyiwe test?
Hahahaha kwa lile nyomi lilivomaiaga loliondo hii chanjo ya Ukimwi ikija bongo nahisi maboksi yatapotelea Airport 😂😂😂Si wameona mnasema kwanini watuletee haraka za uviko 19 wakati ukimwi hazipo, wameamua kujibu. Lakini kizuri zaidi biashara ya chanjo inalipa.
Askofu gwajima atakuwa kwanza kuchanjwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mzigo wa Anti-GriD ya Kidatu hauna shanapa huo yani mapema tu box zinakata Terminal 3 kabla hazijafika hata Tazara😂hahahahhaha wanaokataa chanjo ya korona ya ukimwi inakuja hahahahahahahahahahahahahahaha hapa watu hawachomoi
Sent from my SM-G988N using JamiiForums mobile app
Dunia haiposalama Hadi wote tuwe salamaUkichanja wewe inatosha.
Na watu watainunua vile vile😂Chanjo ya Ukimwi Bila shaka haitakuwa ya bure
Chanjo ya korona haipingwi na watanzania pekeee malekani walikutana lini na Magufuli? Mbona wanaipinga au hamwoni? Ulaya walikutana lini na Gwajima mbona wanaipinga? Maoni ya watu hata Kama hawako sahihi yaheshimiwe! Anayefaidi matumizi ya chanjo ni nani kati ya Tanzania na USA? USA anafaidi kiuchumi directly kwa kuuza dawa na kulinda afya za watu wake, Kama asingekuwa na heshima kwa maoni ya watu bila shaka wale wanaipinga na kueneza propaganda za kupinga chanjo wangekuwa gerezani na kesi za kuhujumu uchumi.Kwani na yenyewe mwendazake aliitilia mashaka? Shida ya hi ya corona, tuweni tu wa kweli, wataalamu wetu walichangia sana kuhusu haya mashaka ambayo kina Gwajima wanayasema sasa hivi, wanataka tu kumuangushia jumba bovu Gwajima but ukweli ni kwamba haya mambo yameanzia wizarani na Ikulu, wasitufanye wajinga. Wamefanya interview TBC, Wasafi na hata youtubes, kote huko clips zao zipo, leo wanataka kumlaumu askofu wa Ubungo? Watutake radhi kabisa
😂😂😂😂😂😂 Aina shambukwareNa hii mubishe basi msichome nyambaf.. zenu