#COVID19 Kampuni ya kutengeneza chanjo za COVID-19, Moderna inatarajia kuanza majaribio ya Chanjo za UKIMWI mwezi huu

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,451
17,154
Kampuni inayotengeneza chanjo ya Covid ya Moderna inatarajia kuanza majaribio ya chanjo ya UKIMWI Jumatano ijayo.

Mordena wana matumaini makubwa kwamba kutokana na teknolojia mpya ya mRNA ambayo imesaidia kupambana na virusi wa Covid, wanaamini kua chanjo ya Ukimwi kwa kutumia teknolojia hiyo itakua na mafaikio makubwa kwani hii teknolojia mpya ina faida kubwa zaidi kuliko chanjo nyingine zilizokua zinatengenezwa huko nyuma.

Mordena wanasema chanjo utaanza mwaka huu na inatarajia kuisha mwaka 2023. Kampuni nyingi za madawa ya binadamu ziko ama zimeanza majaribio ya chanjo ya ukimwi na kuna matumaini makubwa ya kufanikiwa.

Hii ni habari njema.

 
Kampuni inayotengeneza chanjo ya Covid ya Moderna inatarajia kuanza majaribio ya chanjo ya Ukimwi Jumatano ijayo.

Mordena wana matumaini makubwa kwamba kutokana na teknolojia mpya ya mRNA ambayo imesaidia kupambana na virusi wa Covid, wanaamini kua chanjo ya Ukimwi kwa kutumia teknolojia hiyo itakua na mafaikio makubwa kwani hii teknolojia mpya ina faida kubwa zaidi kuliko chanjo nyingine zilizokua zinatengenezwa huko nyuma.

Mordena wanasema chanjo utaanza mwaka huu na inatarajia kuisha mwaka 2023. Kampuni nyingi za madawa ya binadamu ziko ama zimeanza majaribio ya chanjo ya ukimwi na kuna matumaini makubwa ya kufanikiwa.

Hii ni habari njema.

Hawa hawana tofauti na ccm wanatengeneza tatizo afu wanalitatua so tunashabikia kuwa uongozi umefanya kitu Cha mfano.

Mfano reli ya Arusha waliiua wenyewe mwingine anaifufua anashangiliwa kuwa ni maendeleo.

Watakuwa wameshaua na kumeki hela zao wakatosheka
 
Chanzo za Covid zilifanyiwa wapi majatibio?

Kumbuka zilitolewa kwa emergency authorization na FDA.
Kama hazijafanyiwa majaribio hii efficacy rate imetoka wapi?

imagee12.png
 
Kama hazijafanyiwa majaribio hii efficacy rate imetoka wapi?

View attachment 1892887
Kuna vitu unachanganya ama huelewi.

Kwa uelewa wako kwa kua dawa ina ufanisi wa 100% basi haistahili kufanyiwa majaribio.

Majaribio hayafanywi tu kwa sababu ya ufanisi wa dawa ama chanjo, majaribio yanaangalia vitu vingi, madhara ya muda mfupi ama muda mrefu kwa mgonjwa, ufanisi wa dawa kwa muda gani na mambo mengine mengi.

Halafu hoja hapa sio ufanisi wa dawa, hoja ni unionyeshe wapi hizo chanjo zilifanyiwa majaribio. Hilo tu.
 
Back
Top Bottom