moderna

Moderna is an American biotechnology company based in Cambridge, Massachusetts. It focuses on drug discovery, drug development, and vaccine technologies based exclusively on messenger RNA (mRNA).Moderna's technology platform inserts synthetic mRNA into human cells. This mRNA then reprograms the cells to prompt immune responses; in conventional medicines, by contrast, immune responses are created externally and injected into the bloodstream. It is a novel technique, previously abandoned due to the side effects of inserting mRNA into cells. As of November 2020, no mRNA drug has ever been approved for use in humans.Moderna has conducted mostly unsuccessful trials in traditional high-margin chronic therapeutic areas with AstraZeneca and in orphan diseases with Alexion Pharmaceuticals. In 2014, Moderna moved to focus on lower-margin vaccines, given that an mRNA vaccine, efficacy issues aside, will always stimulate a level of antibody development in subjects. The strategic change led industry experts, and Moderna employees, to question the financial viability of the company.In December 2018, Moderna conducted the largest biotech initial public offering (IPO) in history, raising US$600 million for 8% of its shares, implying a valuation of $7.5 billion; from inception to IPO, Moderna reported cumulative losses $1.5 billion and had raised $3.2 billion in equity. As of December 2020, Moderna was valued at $60 billion, and while none of its drugs had been approved, its COVID-19 vaccine, mRNA-1273, was submitted for emergency use authorization.

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    #COVID19 Moderna to build Sh57bn COVID-19 vaccine plant in Kenya

    American biotechnology firm Moderna will set up a manufacturing facility in Kenya, its first in Africa, to produce messenger RNA (mRNA) vaccines, including Covid-19 shots. Moderna said it expects to invest about $500 million (Sh56.5 billion) in the Kenyan facility and supply as many as 500...
  2. COARTEM

    Watanzania msidanganyike na Ulaghai wa PFIZER & MODERNA dhidi ya JANSSEN (J&J)

    Chanzo ya Pfizer-BionTech na ile ya Moderna zimetuia teknolojia ya mRNA (kutumia RNA ya kirusi cha corona kutengeneza chanjo) Chanjo ya Janssen (J&J) imetumia teknolojia ya kupandikiza RNA ya corona kwenye kirusi cha Adenovirus na kutengeneza chanjo. Chanjo za Moderna na Pfizer majaribio yao...
  3. The Evil Genius

    #COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

    Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya Marekani, CDC imeshauri watu kupata chanjo za Pfizer ama Moderna kuliko J&J. CDC imefikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya kwamba hizo chanjo ni salama zaidi kuliko J&J. Sababu kubwa ya kupendekeza hivyo ni kwamba J&J inasababisha matatizo ya...
  4. The Sheriff

    #COVID19 Umoja wa Afrika kununua chanjo milioni 110 za Moderna

    Umoja wa Afrika (AU) unakusudia kununua dozi milioni 110 za chanjo ya COVID-19 kutoka Moderna Inc katika mpango ulioratibiwa kwa sehemu na Ikulu ya Marekani, White House. Dozi hizo zitatolewa katika miezi ijayo, huku milioni 15 zikiwasili kabla ya mwisho wa 2021, milioni 35 katika robo ya...
  5. Analogia Malenga

    #COVID19 Moderna yalaumiwa kupeleka chanjo nchi tajiri kuliko kwa nchi zinazoendelea

    Ripoti katika gazeti la New York Times inasema kwamba watengenezaji wa chanjo ya Moderna wamekuwa wakitoa chanjo zao kwa mataifa tajiri tu. Ripoti katika gazeti la New York Times inasema kwamba watengenezaji wa chanjo ya Moderna ya virusi vya corona ambayo inaonekana kuwa kinga bora zaidi...
  6. Analogia Malenga

    #COVID19 Uganda yapokea dozi 647,080 za moderna

    Marekani imeipatia Uganda dozi 647,080 za chanjo ya corona ya Moderna, ambapo dozi hizo zimefika Uganda Jumatatu, Septemba 7 Hadi kufikia Agosti 30, watu 1.37 alipokea chanjo ya Astrazeneca na Sinovac ambapo watu 399,097 wamepata dozi kamili Uganda ina malengo ya kuwachoma chanjo watu millioni...
  7. Analogia Malenga

    #COVID19 Kenya yapokea zaidi ya dozi laki 8 za Moderna

    Kenya imepokea dozi nyingine 880,320 za chanjo ya Moderna. Hii ni awamu ya pili ya dozi milioni 1.76 zilizotolewa na serikali ya Marekani nchini Kenya , kupitia kituo cha Covax. Chanjo hizo zimewasili nchini Kenya Jumatatu asubuhi. "Kundi la 2 la dozi 880,320 za chanjo ya Moderna # COVID19...
  8. beth

    #COVID19 Ufilipino: Matumizi ya dharura ya Moderna yaidhinishwa kwa wenye miaka 12 hadi 17

    Taifa hilo limeidhinisha matumizi ya dharura ya Chanjo dhidi ya COVID-19 ya Moderna kwa Watoto wa kuanzia umri wa miaka 12 hadi 17. Kwa mujibu wa takwimu za WHO, Ufilipino imerekodi maambukizi 2,020,484 Mamlaka ya Chakula ya Dawa Nchini humo imesema kutokana na Kirusi cha Corona aina ya Delta...
  9. The Evil Genius

    #COVID19 Kampuni ya kutengeneza chanjo za COVID-19, Moderna inatarajia kuanza majaribio ya Chanjo za UKIMWI mwezi huu

    Kampuni inayotengeneza chanjo ya Covid ya Moderna inatarajia kuanza majaribio ya chanjo ya UKIMWI Jumatano ijayo. Mordena wana matumaini makubwa kwamba kutokana na teknolojia mpya ya mRNA ambayo imesaidia kupambana na virusi wa Covid, wanaamini kua chanjo ya Ukimwi kwa kutumia teknolojia hiyo...
  10. beth

    #COVID19 Marekani: FDA yaidhinisha utoaji wa dozi ya tatu ya chanjo kwa kundi maalum

    Kutokana na kuwepo Kirusi cha Delta kinachosambaa kwa kasi zaidi, Mamlaka ya Chakula na Dawa (FDA) imeidhinisha utoaji wa Chanjo za ziada za Pfizer na Moderna kwa watu ambao kinga yao ya mwili imeathiriwa. Mbali na Marekani, Nchi nyingine ambazo zimepanga kutoa au zimeshatoa dozi ya tatu ya...
  11. B

    #COVID19 COVID-19: US delivers 4m doses Moderna vaccines to Nigeria

    August 3, 2021 Abuja, Nigeria The U.S Mission to Nigeria has stated that the 4,000, 080 Moderna vaccines doses donated to Nigeria was part of President Joe Biden’s commitment to combat the global COVID-19 pandemic. Ms Kathleen FitzGibbon, Deputy Chief of Mission, US Embassy, said this at the...
  12. T

    #COVID19 Watengeneza chanjo ya Covid-19 aina ya Pfizer na Moderna wapandisha bei ya chanjo

    Watengeneza chanjo ya Covid-19 aina ya Pfizer na Moderna wamepandisha bei ya Chanjo. Taarifa iliyotolewa leo na jarida ya Financial Times limesema Moderna na Pfizer wameingia mkataba mpya wa bei mpya ya chanjo zao kwa Umoja wa Ulaya. Pfizer sasa itauzwa Dollar 23.15 (TZS 54,147) ama Euros 19...
  13. A

    The Moderna COVID-19 (mRNA-1273) vaccine: what you need to know

    Who should be vaccinated first? As with all COVID-19 vaccines, health workers at high risk of exposure and older people should be prioritized for vaccination. As more vaccine becomes available, additional priority groups should be vaccinated, with attention to people disproportionately affected...
  14. Analogia Malenga

    CDC wakutana kujadili kesi za kuvimba moyo za waliopata chanjo ya Moderna na Pfizer

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) kimepanga kikao cha dharura Juni 18, 2021 ili kujadili waliopata chanjo ya ~COVID19 ya Pfizer na Moderna ambao wamevimba moyo Watu 226 wameripotiwa kuwa na tatizo la myocarditis a pericarditis baada ya kupata chanjo. Wengi wameripotiwa kupona lakini...
  15. K

    #COVID19 Askofu Gwajima ni mpotoshaji sana suala la Chanjo za COVID-19

    Sijawahi kuanzisha uzi hapa lakini baada ya kusikiliza clip ya Gwajima jana nilikereka sana na uongo wake. Hakuna Shirika linaitwa emergency drug authorization USA kuna FDA Food and Drug Administration sio Flag and Drug Administration na ndio Regulatory Authority pekee ya vaccine drug and food...
  16. STRUGGLE MAN

    WHO yaidhinisha chanjo ya Moderna kwa matumizi ya dharura

    WHO yaidhinisha chanjo ya Moderna kwa matumizi ya dharura Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO, limeidhinisha kwa matumizi ya dharura chanjo dhidi ya COVID-19 ya Moderna. Chanjo hiyo ya mRNA ya Marekani inaungana na chanjo za AstraZeneca, Pfizer-BioNTech na Johnson & Johnson kupitishwa katika...
  17. Sam Gidori

    SoC01 Chanjo ya COVID-19: Yote unayohitaji kufahamu

    Kampuni ya Kitabibu ya Moderna imetangaza nia yake ya kuomba kibali cha kuthibitishwa kwa chanjo yake ya COVID-19 kwa Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani. Moderna sasa inaungana na kampuni nyingine mbili za kitabibu zinazosubiri kuthibitishwa kwa chanjo zao na Mamlaka ya Chakula na Dawa...
Back
Top Bottom