Kampuni mpya ya kuajiri imefunguliwa

ACHANE KUDANGANYA WATANZANIA HAWA PATAKAZI WAKO MOROCO URSINO STREET NYUMBA NAMBA 54 ZAMANI APPLIED TECHNOLOGY

KAMPUNI HII NI KUBWA NA NI YA KIMATAIFA NI SEHEMU YA RECRUITERS ASSOCIATES YA USA NA UKNAWAJUA NA NI WATENDAJI KWELI KWELI ZAIDI YA KAZI WANATAFUTA PIA SCHOLARSHIP KWA WATU WANAOTAKA KWENDA KUSOMA NJE WAKO JAMAA ZANGU WAMEENDA KUCHUKUA MASTERS UK KWA MSAADA WA HAWA PATAKAZI

UKIWA HUJUI KITU ULIZA USIANZE KUPONDA UNAIDHALILISHA jf
 
Guys am afraid,aren't they conmen,what do they get out of it?There must be something fishy there!
 
ACHANE KUDANGANYA WATANZANIA HAWA PATAKAZI WAKO MOROCO URSINO STREET NYUMBA NAMBA 54 ZAMANI APPLIED TECHNOLOGY

KAMPUNI HII NI KUBWA NA NI YA KIMATAIFA NI SEHEMU YA RECRUITERS ASSOCIATES YA USA NA UKNAWAJUA NA NI WATENDAJI KWELI KWELI ZAIDI YA KAZI WANATAFUTA PIA SCHOLARSHIP KWA WATU WANAOTAKA KWENDA KUSOMA NJE WAKO JAMAA ZANGU WAMEENDA KUCHUKUA MASTERS UK KWA MSAADA WA HAWA PATAKAZI

UKIWA HUJUI KITU ULIZA USIANZE KUPONDA UNAIDHALILISHA jf

Mbona unawajibia ? subiri wajitetee wenyewe si wako humu au na we moja wao. mbona wamekimbia moja kwa moja.
 
hahahahahahaha! yuko wapi tena huyo mwehu? jukwaa la GT unaleta utapeli usioenda shule?
 
ACHANE KUDANGANYA WATANZANIA HAWA PATAKAZI WAKO MOROCO URSINO STREET NYUMBA NAMBA 54 ZAMANI APPLIED TECHNOLOGY

KAMPUNI HII NI KUBWA NA NI YA KIMATAIFA NI SEHEMU YA RECRUITERS ASSOCIATES YA USA NA UKNAWAJUA NA NI WATENDAJI KWELI KWELI ZAIDI YA KAZI WANATAFUTA PIA SCHOLARSHIP KWA WATU WANAOTAKA KWENDA KUSOMA NJE WAKO JAMAA ZANGU WAMEENDA KUCHUKUA MASTERS UK KWA MSAADA WA HAWA PATAKAZI

UKIWA HUJUI KITU ULIZA USIANZE KUPONDA UNAIDHALILISHA jf

Naona unabipu FAYA wewe 'Amaru Dongo', kwa hiyo wewe ndio unajifanya una akili saaana kuliko mimi Mndengereko?
Mimi naona wewe ndio unajidhalilisha, tena bila huruma na kama umetumwa nenda kawaambie uliowatuma kuwa umekutana na Mndengereko pekee mwenye kujua kutumia Kompyuta ipasavyo kiasi kwamba haoni shida 'kutaipu' siku nzima, huna adabu!

Recruiters Associates wakatumie akaunti ya GOOGLE (Kweli akili nzuri ukiwa nayo)

Je vipi kuhusu huu mchezo, wewe unauelewa umewezekanaje; Suzan (Feki, ambaye ni mmoja wenu) katuma ujumbe 16:52hrs na baada tu ya dakika 1, yaani 16:53 amepost comment nyingine kuwashukuru na kuwaaga baada ya kuongea nao kwenye simu. Hebu nieleze nini kitakuwa kimeongelewa ndani ya dakika moja na Suzan huyo huyo aweze kupost (ndani ya dakika hiyo hiyo) acknowledgements hapa JF kama sio usanii wa kitoto?

Hata muuza maboga wa Rufiji humdanganyi namna hii. Mnataka kuiba huku hamjasoma, wizi wa namna hiyo hata watani zangu wamakonde na uzembe wao huwaibii, labda Wanyamwezi wa Igunga, kwenda zako hapa.

Kama wanatoa 'skola sheep' waombe wakupe moja ya kwenda kusomea utapeli Nigeria other wise mtajapigwa mtaani siku moja na wizi wa kitoto huu. Ah, nilitaka kusahau...PERIOD!
 
Kudos Mwana Mtoka Pabaya.Watakua ni matapeli kweli mbona hawarudi kwa ufafanuzi na kukanusha tuhuma?
 
.NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK i know the company n they are real good,

Real good on what, conning? Wewe ungefanya research ungegundua hitilafu kwenye hiyo scene ya suzan minja. Sema umeona mjinga mmoja kasema anawajua hao wamarekani fekelo basi na wewe ukadhani unajoin the winning team.

Sasa nakuamuru uangalie post mbili za Suzan, zingatia muda zilizoandikwa na kupostiwa halafu angalia kwenye ya pili ameandika nini. Ukishafanya hiyo research utagundua mimi sio MJINGA, kwa maneno mengine mm sio kama wewe.
 
Ndio maana naipenda JF maana hoja za namna hii hazifai hata kidogo hawa ni matapeli ni sawa na wale wa pale cnza big born kwa nyuma wanatuma sms hovyo hovyo kwa watu. Bila kuwafahamu harafu wanakuelekeza ofisini kwao ukifika wanakubebesha viti ukauze mtaani duh duniani kuna mambo!
 
Ndio maana naipenda JF maana hoja za namna hii hazifai hata kidogo hawa ni matapeli ni sawa na wale wa pale cnza big born kwa nyuma wanatuma sms hovyo hovyo kwa watu. Bila kuwafahamu harafu wanakuelekeza ofisini kwao ukifika wanakubebesha viti ukauze mtaani duh duniani kuna mambo!

Mi wakinisumbua namna hiyo nikifika hapo ni makofi tu. Haiwezekani usimueleze mtu kitu tangu awali
 
.NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK i know the company n they are real good,


Acha kukurupuka ka umetoka usingizini wewe, soma mfululizo wa muda wa posts kisha jaribu tumia akili ya kawaida CV imesomwa at what time, na maongezi ya cm muda upi na hata kupata muda wa Ku-aknowledge kupitia JF in a minute.....


MPUMBAVU NDIE MPUMBAVU
 
NAWASHUKURU WADAU KWA KWELI NIMEFURAHISHWA SANA NA KAULI ZENU NYINGINE CHAFU NA NYINGINE NZURI ILA YOTE NI SAWA TUU

WASWAHILI WANASEMA UKIMKIMBIZA CHIZI UCHI WEWE NDIO CHIZI ZAIDI

NI HIVI SISI TUPO NA ADRESS YETU INAJULIKANA NJOO MORROCO URISNO NAMBA 54 UTATUKUTA

KAZI ZETU ZINAJULIKANA ANGALIA www.recruitersassociates.com UKISHINDWA FUNGUA www.kazikazi.patakazi UTATUKUTA .

HATUJAIBA WALA KUTAPELI MTU ,NJOO OFISINI KWETU TUKUPE LIST YA WATANZANIA WALIOSAIDIWA NA SISI


NI KWELI SUZAN ALITUPIGIA NA AKIJA HAPA ATAKIRI SASA HIVI YUKO IRAN SHIPPING ANAFANYA KAZI ,NENDA PALE UTAMKUTA,NA WENGINE WENGI

ACHENI KUWA WAJINGA,SISI TUNALIPWA NA WAAJIRI WEWE MTAFUTA KAZI HATUTAKI HELA ZAKO

MWISHO ASIYE NA MAANA HAAMBIWI LA MAANA,UJINGA WAKO NDIO UMASKINI WAKO

WATANZANIA TUMENI KWA WINGI CV ZENU KWA SASA TUNA NAFASI NYINGI ZA

MAAKAUNTANT
MA HR
MA SECRETARI
MAMARKETING
NA WALINZI

PIA TUNAKODISHA MBWA KWA AJILI YA ULINZI

TUMA MAOMBI patakazi@gmail.com

Ahsanteni
 
Shukrani mkuu, naomba kujua kama temporary jobs kwa non professionals like form six leavers and undergraduates who are in college.
 
Hivi hii sio ile ya wale mafisadi wa EPA kweli wale wahaya wale mmoja Benzi ilidakwa Airport sijui,maana iko Ursino karibu na kwa JK
 
ACHANE KUDANGANYA WATANZANIA HAWA PATAKAZI WAKO MOROCO URSINO STREET NYUMBA NAMBA 54 ZAMANI APPLIED TECHNOLOGY

KAMPUNI HII NI KUBWA NA NI YA KIMATAIFA NI SEHEMU YA RECRUITERS ASSOCIATES YA USA NA UKNAWAJUA NA NI WATENDAJI KWELI KWELI ZAIDI YA KAZI WANATAFUTA PIA SCHOLARSHIP KWA WATU WANAOTAKA KWENDA KUSOMA NJE WAKO JAMAA ZANGU WAMEENDA KUCHUKUA MASTERS UK KWA MSAADA WA HAWA PATAKAZI

UKIWA HUJUI KITU ULIZA USIANZE KUPONDA UNAIDHALILISHA jf

Kampuni kubwa na ya kimataifa? who are you kidding? kampuni iwe ya kimataifa na wanatumia gmail accounts? Mimi sijui kama hii kampuni ni fake au sio fake, nisilokubaliana nalo ni kujipachika ufahari wa kimataifa ilhali haijulikana kokote?
 
jamani wadau mie nimetuma na majibu yote juu ya kitakachojiri nitaleta hapa maana tangu mwanzo tunawatupia madongo na hakuna anayesema aliitwa na akaambiwa tofauti,mie ngoja niende huenda ndio bahati yangu
 
Back
Top Bottom