Kampuni mpya ya kuajiri imefunguliwa

ACHANE KUDANGANYA WATANZANIA HAWA PATAKAZI WAKO MOROCO URSINO STREET NYUMBA NAMBA 54 ZAMANI APPLIED TECHNOLOGY

KAMPUNI HII NI KUBWA NA NI YA KIMATAIFA NI SEHEMU YA RECRUITERS ASSOCIATES YA USA NA UKNAWAJUA NA NI WATENDAJI KWELI KWELI ZAIDI YA KAZI WANATAFUTA PIA SCHOLARSHIP KWA WATU WANAOTAKA KWENDA KUSOMA NJE WAKO JAMAA ZANGU WAMEENDA KUCHUKUA MASTERS UK KWA MSAADA WA HAWA PATAKAZI

UKIWA HUJUI KITU ULIZA USIANZE KUPONDA UNAIDHALILISHA jf
kweli kabisa si vile vyuo vya uchochoron ambavyo malecture wote wanatoka india na nigeria waulize waliotoka uko uk vyeti wamevificha,wengine wmeshaanza kusoma magogoni na mwalimu nyerere memorio,sio mbaya maana kazi ya kutembeza vyombo barabarani nayo kaziiiiiii jamaani..kabagh
 
Nyie wachaga wapuuzi kweli kweli! Yaani mmenichekesha nusura nifunje mbafu zangu.

Juha wa Kwanza anatangaza kazi zisizojulikana, anajifanya bonge la agent na kwamba very quick in response.

Juha wa pili anajifanya ametuma CV (16:52) halafu dakika 1 tu inayofuata (16:53) tayari ameshapigiwa simu kwa hiyo anshukuru. Hivi hata kama ndio ujanja ujanja, mbona msitumie akili hata kidogo?

Recruitment Agent na e-mail ya gugo kweli?!

Labda nimiulizeni tu, hizo CV za watu mnataka kuzifanyia nini jamini?
watu wa namna hii wanakuwa hawajui kuandika cv.sasa wanatumia hila ili watu wawatumie cv zao waangalie na kujifunza.
 
Nyie wachaga wapuuzi kweli kweli! Yaani mmenichekesha nusura nifunje mbafu zangu.

Juha wa Kwanza anatangaza kazi zisizojulikana, anajifanya bonge la agent na kwamba very quick in response.

Juha wa pili anajifanya ametuma CV (16:52) halafu dakika 1 tu inayofuata (16:53) tayari ameshapigiwa simu kwa hiyo anshukuru. Hivi hata kama ndio ujanja ujanja, mbona msitumie akili hata kidogo?

Recruitment Agent na e-mail ya gugo kweli?!

Labda nimiulizeni tu, hizo CV za watu mnataka kuzifanyia nini jamini?

Tatizo watu wakishapata vikozi vya ujasiriamali wanahamasika kupita kiasi wanafikiri kuthubutu ni kuwa hata tapeli. Wajipange, rais mwenyewe kutengeneza ajira sijui milioni 1 ilikua ishu ya kampeni leo jitu linatangaza tuma CV kazi fasta!
 
Back
Top Bottom