afu ukicheck icho kisuz kimember, na icho patakazi pia kimember, FB, WALINGIA NA FAKE ID ZA WASANII WAKUBWA KAMA DIAMOND, WEMA NA SHILOLE AFU, DIAMOND ANASEMA MF JAMAN MI WAMENISAIDIA, AFU VIMEMBER VYA KIZUSH NAVYO VINACHANGIA, ET OH JAMAN THS THNG IS REAL, WATU WAKIONA WASANI WAKUBWA WAKAWA WANAAMINI KUMBE FEK, WAKAKOMBA ELA ZA WATU NA WAKIJUA UMEWAGUNDUA WANAKUBLOCK, INSHORT WATANZANIA LETS BEWARE BONGO NJAA KALI IVO UTAPEL UNAONGEZEKA.
Niko kwenye dilema huku tapeli - huku real,huku tapeli - huku real,sijui hata nichukue lipi sasa?
hata richmond ilikuwa ni kampuni ya kimataifa!hahahahahaha,natania tu jamani kama kuna kazi tupeni tufanya maana hii kazi ya kutafuta kazi nimeichoka mwenzenu.
kwa ukilaza ulioonyesha nina uhakika asilimia moja moja wewe ni jobless. maana hata kazi ya kujiajiri huwezi. Mchezo amabo hata mtoto wa kindergarten anaweza kuushtukia kati ya pata kazi na huyo anayejiita suzan. Next time jaribu kuwa smart.. Kucheza na watu wanaotatufa kazi ni dhambi kubwa..
and another thing tangza kwenye t.v upate vijana wengi ili ulipwe na hayo makampun hewa ela nying, si ku2mia mtandao afu unakua ANONYMOUS, NO ONE IS SEEING YOU, ALAAH!
Haha yani huyu jamaa anazidi kujishusha hadhi kwa kutukana, eti intaview watu zaid ya 50, kazi zingekua zinamwagika hivi sidhani kama kungekua na tatizo la ajira , pole tapeli wa kujitegemea..afu eti unatafuta malaya nenda joly? Unafikiri jf kuna wanaume tu?, kama no, kwanini una generalise? Thats pure fallacy!
PRINCES SUZ ANAWEZA KUFANYA YOTE HATA KWA SEKUNDE NA WEWE KAMA UNATAKA NIMWAMBIE AJE AKUFANYIE KWA SEKUNDE,SWALA HILO NI MAINA SANA KWA WENYE AKILI ,ACHA KUGARAGAZA MASABURI YAKO KWENYE MAKAA YA MAWE TUMIA bONGO JO''
UNAJUA NI WATZ WANGAPI WANASAKA JOB WEWE ?/KWA DATA ZETU TUNA WATU 4220 MPAKA SASA NA TUMESHAWAINTERVIEW WATU 800 KAMA HUTAKI SIKULaZIMISHI
Eksikyuz mi sa!
Ni kazi gani hiyo ya kusailiwa na mtu mwenye akili kama zako? Usiniambie mama ntilie nao siku hizi wanatumia recruitment agents kupata wasaidizi wa kuwaoshea vyombo!
Nawashukuru jamii forum member hasa wanaocchangia uzi huu kwa kuwa wamevutiwa sana na jina langu na ukomavu nilionao katika matumizi ya mtandao yaani naweza kupost kitu huku naongea na simu na huku niko skype na yahoo im,na pia nikiwa natuma msg hahahahaaa huo ndio utaalamu wa masekretari bana najivunia kazi yangu aiseee kama hutaki sikulazimishi
pata kazi heshima kwenu george james,jesus pelaz na caroline na wengine wote saluti sana,
endeleeni kutusaidia aisee tunawakubali sana
wa jf wasio na akili waache waendelee kupiga domo sisi tunasonga
hahahaaaaa waboongo bana je mngeambiwa mchangie si ndo ingekuwa balaaaaaa
na kuanzia sasa atakayetaja suzani tafadhali mods mtozeni hela maaan nimekuwa mashuuhuri sana hapa je mkiniona si mtaogopa
hahahaaaaaaaaa big up patakazi
CHAGUA MOJA SISI HATUOMBI HELA NA WALA HAKUNA TAPELIA ATAKAYEACHA KUTANGULIZA FEZA MBELE,ENDELEA KUSIKILIZA WAZUSHI UONE KAmA UTAPIGA HATUA MAISHANI
Unafikiri nitachagua lipi? ikiwa utambulisho wako kwenye heading ni "Kampuni mpya ya kutafuta kazi imefunguliwa..." wakati hao unao'collude nao wanasema ni "Kampuni real,ipo sijui wapi imesaidia watu wengi scholarships,wako UK wanasoma n.k" sasa Kampuni mpya iliyoanzishwa na connections za scholarships za zamani watu wanasoma UK,wapi na wapi?
Halafu mbona una hasira sana Bwana "PATAKAZI"? sasa kwa hizo hasira hizo interview zinakuwaje?
Nawashukuru jamii forum member hasa wanaocchangia uzi huu kwa kuwa wamevutiwa sana na jina langu na ukomavu nilionao katika matumizi ya mtandao yaani naweza kupost kitu huku naongea na simu na huku niko skype na yahoo im,na pia nikiwa natuma msg hahahahaaa huo ndio utaalamu wa masekretari bana najivunia kazi yangu aiseee kama hutaki sikulazimishi
pata kazi heshima kwenu george james,jesus pelaz na caroline na wengine wote saluti sana,
endeleeni kutusaidia aisee tunawakubali sana
wa jf wasio na akili waache waendelee kupiga domo sisi tunasonga
hahahaaaaa waboongo bana je mngeambiwa mchangie si ndo ingekuwa balaaaaaa
na kuanzia sasa atakayetaja suzani tafadhali mods mtozeni hela maaan nimekuwa mashuuhuri sana hapa je mkiniona si mtaogopa
hahahaaaaaaaaa big up patakazi
Sema una hasira umeshtukiwa. Wenyewe mlijiona mna akiliiii, hivi kweli ungekuwa na shughuli ya kufanya nyeti kama hiyo ungekuwa hapa bize unawatukana watu na masaburi as if mama yako hana?
Asiyetumia ubongo ni wewe unayeingia kichwa kichwa kusema inawezekana Suzan kakosea, kakosea kwani ni yeye ndio anaandika muda? Ukipost comments hapa JF kuna sehemu unaambiwa uandike muda wa post yako?
Very shallow lkn unataka ujifanye umetoka Nigeria. Utapeli wa kitoto huo. Wewe kama umeambiwa ukusanye CV za watu na recruiters fulani nyoosha maongezi na sio kujifanya babu kubwa na mwenye akili nyingi wakati huna.
Kila mwenye akili akiona post za Suzan atajua kuna walakini na kujumlisha na hako ka email ka 'gugo' ni ***** mtupu
Kwahiyo hizo big up ulizowamwagia,wameshakupa kazi siyo?
Badala ya kuwa sekretary umekuwa nani sasa,personal kipozeo cha boss?
NGOJA NIKUSAIDIE MKUU G HUYU MIMI NAMMUDU
HIVI WEWE UNAJUA MAANA YA KAMPUNI??KAMPUNI INAWEZA KUANZISHWA MIAKA ELF MOJA LAKINI NDANI YAKE IKIANZISHWA NYINGINE INAITWA TAKATAKA??AU KAMPUNI??RECRUITERS ASSOCIATES IKO ZAIDI YA MIAKA ISHIRINI ILA PATAKAZI NI MPYA NA INASHUGHULIKA NA AJIRA PAMOJA NA MASOMO SASA IKIFUNGULIWA HAPA DAR LEO TUSEMEJEKUWA KAMPUNI YA ZAMANI IPO NA INASAIDIA AJIRA
LAZIMA MKUU G AWE NA HASIRA KWA SABABU MNAMUUZI SANA
TUMIA ULIZOPEWA NA MUNGU SIO ZA SIGARA ***** NA PIwA WEWE