sielewi majitu km haya hayajiulizagi kwanini JF inaitwa home of great thinkers, paparapapara unakuja inajiita et patakazi, dem yuWAPENDWA WATANZANIA WENZANGU MNAOTAFUTA KAZI KWA UDI NA UVUMBA
SULUHISHO LENU LIMEKUJA SASA ,TUMA CV NA BARUA YAKO patakazi2012@gmail.com,TUTAKUJIBU MARA MOJA N
NA NINAKUHAKIKISHIA UTAPATA AJIRA KIRAHISI SANA BILA KUCHANGIA FHARAMA ZOZOTE
AHSANTENI
George James
think big b4 yu shoutNashukuru kwa simu kesho nitakuja ofisini kwenu,mko faster;;;
NAWASHUKURU SANA KWA USHIRIKIANO,KIPEKEE WALE WOTE WALIOFIKA OFISINI KWETU TUMEFURAHISHWA NA NYIE WOTE.SASA TUKO MKOANI MWANZA,MBEYA NA ARUSHA.
RAI YENGU KWA WATANZANIA BADO TUNASAIDIA KUPATA KAZI KArIBUNI BILA KUSITA
arusha ofisi zenu zipo
sehemu gani?
lakini kweli nitapata kazi kama nikituma hiyo cv yangu maana sijaelewa wengi wanjf wanasema ni matapeli sasa itakuwaje
nisaidieni patakazi
NAWASHUKURU WADAU KWA KWELI NIMEFURAHISHWA SANA NA KAULI ZENU NYINGINE CHAFU NA NYINGINE NZURI ILA YOTE NI SAWA TUU
WASWAHILI WANASEMA UKIMKIMBIZA CHIZI UCHI WEWE NDIO CHIZI ZAIDI
NI HIVI SISI TUPO NA ADRESS YETU INAJULIKANA NJOO MORROCO URISNO NAMBA 54 UTATUKUTA
KAZI ZETU ZINAJULIKANA ANGALIA www.recruitersassociates.com UKISHINDWA FUNGUA www.kazikazi.patakazi UTATUKUTA .
HATUJAIBA WALA KUTAPELI MTU ,NJOO OFISINI KWETU TUKUPE LIST YA WATANZANIA WALIOSAIDIWA NA SISI
NI KWELI SUZAN ALITUPIGIA NA AKIJA HAPA ATAKIRI SASA HIVI YUKO IRAN SHIPPING ANAFANYA KAZI ,NENDA PALE UTAMKUTA,NA WENGINE WENGI
ACHENI KUWA WAJINGA,SISI TUNALIPWA NA WAAJIRI WEWE MTAFUTA KAZI HATUTAKI HELA ZAKO
MWISHO ASIYE NA MAANA HAAMBIWI LA MAANA,UJINGA WAKO NDIO UMASKINI WAKO
WATANZANIA TUMENI KWA WINGI CV ZENU KWA SASA TUNA NAFASI NYINGI ZA
MAAKAUNTANT
MA HR
MA SECRETARI
MAMARKETING
NA WALINZI
PIA TUNAKODISHA MBWA KWA AJILI YA ULINZI
TUMA MAOMBI patakazi@gmail.com
Ahsanteni
Wewe JUHA kweli kweli, sasa nitume barua kwako kwa reference ipi? Inaonekana hata hujui kazi inavyoombwa. Unapoomba kazi lazima ueleze ni kazi ipi unaomba na kwa reference gani (tangazo au cold call), sasa unataka mtu atume barua kwako kwa heading ipi!
NAOMBA KAZI YOYOTE, NAOMBA UNITAFUTIE KAZI au aandikeje? (***** we)
Haya ngoja niombe:
Dear Sir,
Apulikesheni for jobu me and my waif to you.
Pliz give me job sir. I em very gud in diskavaring pipo who are styupid inaf to sink they kan con pipo in JF. If zat job is hev you, pliz give tu me.
am veri hepi that yu give me. Sank you sir from Nevada.
Amen!
yua faithfool,
Joji jemsi