- Thread starter
- #101
hatuko kichama hapa usije pata 7bu ya kujibu makombora ya wasomi, huna shughul ya kufanya cz ungekua nayo ungekua busy sana kuchambua CV ZA KAMPUN HEWA.
UNA MAANISHA WOTE HAPA JF HAWANA KAZI ZA KUFANYA AU??KILA MTU NA NAFASI YAKE KWENYE KAMPUNI WEWE UTAJUAJE KAMA MIMI KAZI YANGU NI KUSAIN CHEK,ACHA KUTUMIA MEYA WA JIJI LA DAR KUFIKIrI