Kampuni mpya ya kuajiri imefunguliwa

Kampuni mpya ya kuajiri imefunguliwa

Nashukuru kuwafahamu hao patakazi ila nilitaka kujua ofisi zao ziko wapi ili niende pale pale kuwatumia CV zangu na sio online kama wako Dar es Salaam nifahamisheni jamani naitaji kazi

ant hujui kusoma hata picha huoni, amka mwanamke mwenzangu, soma maelezo ya watu then utajua kama bado unaitaji kazi kutoka kwa hawa MATAPELI WAKUJITEGEMEA.
 
utakuwa huna vigezo

Kumbe kimbelembele kile na kunishobokea na wewe ni mmoja wao mpk ujue vigezo vya utapeli wenu. Nilijua tu, huwezi kuwashwa na pilipili ya BB kama hauko anakotwangia.

Haya, ukiondoa UBWEGE na UZUZU, kigezo gani kingine mnataka?
 
Kumbe kimbelembele kile na kunishobokea na wewe ni mmoja wao mpk ujue vigezo vya utapeli wenu. Nilijua tu, huwezi kuwashwa na pilipili ya BB kama hauko anakotwangia.

Haya, ukiondoa UBWEGE na UZUZU, kigezo gani kingine mnataka?
Actual wanataka wasomi kama sisi ,watu wenye liugha safi na wastahilivu wasio na majungu na maneno machafu kama wewe hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,haloooooooooooooooooooooooooooooo;;;mjini mijni mjini aaaaaaaaaaaaaaaaaagh almaba tena agggggggggghaaa,halooooooooooooooooooooo oooo;;;
 
Actual wanataka wasomi kama sisi ,watu wenye liugha safi na wastahilivu wasio na majungu na maneno machafu kama wewe hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,haloooooooooooooooooooooooooooooo;;;mjini mijni mjini aaaaaaaaaaaaaaaaaagh almaba tena agggggggggghaaa,halooooooooooooooooooooo oooo;;;

Hatimaye umekiri uzuzu wako. Jina la kichaga linafaa kwa fiksi.
 
nyie mbona mnatuniana misuli kwani hao wamewaambia kuwa ni matapeli mwenzenu nataka hiyo kazi nitawatafuta ili nione ni kazi gani wanatangaza hao watu
 
Kwanza tangazo lao lenyewe ni full spelling errors which simply psychologically means Unproffessional !! kweli kwa wanachokisema kama kingekuwa kweli tungeona hata kupitia usiriazi wa Tangazo lenyewe,
nimemaliza First Degree this year na niko kwenye hatua za mwisho kujiajiri manake nshagundua kutafuta kazi
ni uenda wazimu tuu,. waajiri wananyodo, hawana hela za maana na hakuna freedom yyte
Please tujiajiri wenyewe
WAPENDWA WATANZANIA WENZANGU MNAOTAFUTA KAZI KWA UDI NA UVUMBA

SULUHISHO LENU LIMEKUJA SASA ,TUMA CV NA BARUA YAKO patakazi2012@gmail.com,TUTAKUJIBU MARA MOJA N

NA NINAKUHAKIKISHIA UTAPATA AJIRA KIRAHISI SANA BILA KUCHANGIA FHARAMA ZOZOTE

AHSANTENI

George James
 
hahhahaaaaaaaa....mjini darasa kijijini jembe :A S-baby:
 
WAPENDWA WATANZANIA WENZANGU MNAOTAFUTA KAZI KWA UDI NA UVUMBA

SULUHISHO LENU LIMEKUJA SASA ,TUMA CV NA BARUA YAKO patakazi2012@gmail.com,TUTAKUJIBU MARA MOJA N

NA NINAKUHAKIKISHIA UTAPATA AJIRA KIRAHISI SANA BILA KUCHANGIA FHARAMA ZOZOTE

AHSANTENI

George James

acha unafiki na uongo mi nimetume cv yangu yapata mwezi unaisha bila hata kubipiwa mi nikapiga.



usafanye watu madaraja kfanikisha lengo lako.
 
TUNAWASHUKURU SANA WATANZANIA KWA KUTUAMINI NA KUTUTEGEMEA KWA HAKIKA TUMETATUA KERO ZA WENGI NA KAMA UPO HAPA HUJAPATA KAZI NA ULIOMBA KWETU BASI TUTUMIE BARUA YAKO TENA TUTAKUSHUGHULIKIA MARA MOJA,

MSISIKILIZE MANENO YA KWENYE KANGA WALA KELELE ZA VYURA KWANI SIKU ZOTE AKILI KUBWA INATAWALA AKILI NDoGO
 
TUNAWASHUKURU SANA WATANZANIA KWA KUTUAMINI NA KUTUTEGEMEA KWA HAKIKA TUMETATUA KERO ZA WENGI NA KAMA UPO HAPA HUJAPATA KAZI NA ULIOMBA KWETU BASI TUTUMIE BARUA YAKO TENA TUTAKUSHUGHULIKIA MARA MOJA,

MSISIKILIZE MANENO YA KWENYE KANGA WALA KELELE ZA VYURA KWANI SIKU ZOTE AKILI KUBWA INATAWALA AKILI NDoGO
mnapatikana wap nilete cv yangu?
 
Watu wanajua kucapture opportunities hii naifananisha na wale walioanzisha kikundi cha kulia misibani!
Yaani mumeona lundo la watz hawako na ajira nanyi mkaanzisha ako kamradi.
Waitaji wa ajira Tz kwa sasa wako kama laki 7 so mkipata CV zote izo mtazipeleka wapi?
I expected kama mko seroius mngesema hao wateja wenu wanataka watu wa sifa zipi?
 
Huenda wakawa wanataka kujifunza kuandika CV kwa ku-collect samples.
 
lakini kweli nitapata kazi kama nikituma hiyo cv yangu maana sijaelewa wengi wanjf wanasema ni matapeli sasa itakuwaje
nisaidieni patakazi
 
WAPENDWA WATANZANIA WENZANGU MNAOTAFUTA KAZI KWA UDI NA UVUMBA

SULUHISHO LENU LIMEKUJA SASA ,TUMA CV NA BARUA YAKO patakazi2012@gmail.com,TUTAKUJIBU MARA MOJA N

NA NINAKUHAKIKISHIA UTAPATA AJIRA KIRAHISI SANA BILA KUCHANGIA FHARAMA ZOZOTE

AHSANTENI

George James


Nyie MAMBWA huku ni watu na heshima zao wenye upeo mkubwa wa kufikiri na kuamua. Patakazi na Suzan wote ****** hebu fikiria post zinatofautiana kwa dakika moja na ni kuhusu 1. Kutuma CV 2. Kupigiwa CM na 3. Kupost tena kushukuru , yote in a minute?

Mtakojoleshwa dagaa!
 
Updates

mpaka sasa tumewapatia kazi watanzania 350

tafadhali kama unahitaji kazi tuma cv yako kwetu na sisi tutakupatia kazi mara moja
 
acha unafiki na uongo mi nimetume cv yangu yapata mwezi unaisha bila hata kubipiwa mi nikapiga.



Usafanye watu madaraja kfanikisha lengo lako.

simu yako ni baadhi ya simu zenye shida tumejaribu kukupigia sana pole sana ila ahsante kwa matusi na yakurudie mara laki saba
 
lakini kweli nitapata kazi kama nikituma hiyo cv yangu maana sijaelewa wengi wanjf wanasema ni matapeli sasa itakuwaje
nisaidieni patakazi

We dada unaonekana upo frustrated sana, umesomea kitu gani? haya hembu tuwasiliane, niPM
 
Back
Top Bottom