johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Leo mgombea urais wa CCM Dr Magufuli anafanya mkutano mkubwa wa kihistoria wa kampeni Zanzibar ambao utaisimamisha Unguja.
Kadhalika vijana wenye mafanikio makubwa ya kisanii na kiuchumi ambao ni makada wa CCM Diamond, Kiba na Harmonize wataeleza namna serikali ya Rais Magufuli ilivyowapaisha kimafanikio.
Mkutano utakuwa mubashara kwenye luninga zote maarufu nchini na mitandaoni.
Up dates;
Kadhalika vijana wenye mafanikio makubwa ya kisanii na kiuchumi ambao ni makada wa CCM Diamond, Kiba na Harmonize wataeleza namna serikali ya Rais Magufuli ilivyowapaisha kimafanikio.
Mkutano utakuwa mubashara kwenye luninga zote maarufu nchini na mitandaoni.
Up dates;