Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasahivi meli za bakharesa zishajipanga kwenye Bandar ya pemba kusomba watu.Mliosema “Magufuli hampendi Mwinyi anapretend tu” sasa kesho muwe macho muone support.
Mkutano mkubwa kuliko tunausubiri hapo kesho katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
PICHA: Jinsi Dkt. Magufuli alivyowasili visiwani Zanzibar
View attachment 1588437
View attachment 1588438
View attachment 1588439
PROMO:
View attachment 1588395
Sasa hutaki? Kwani nyinyi Malalamiko FC mmekatazwa kufanya hivyo!?Sasahivi meli za bakharesa zishajipanga kwenye Bandar ya pemba kusomba watu.
Ndiyo watakuwepo!Nimeona wasanii hapo wakina AliKiba, Diamond, Harmonise n.k
Baada ya hapo gari ya Mkaa itaelekea gereji kwa siku 7Mliosema “Magufuli hampendi Mwinyi anapretend tu” sasa kesho muwe macho muone support.
Mkutano mkubwa kuliko tunausubiri hapo kesho katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
PICHA: Jinsi Dkt. Magufuli alivyowasili visiwani Zanzibar
View attachment 1588437
View attachment 1588438
View attachment 1588439
PROMO:
View attachment 1588395
Basi ntaenda kuwaona burudani tosha sana hiyo tena bureNdiyo watakuwepo!
Hilo lori la mkaa linaingia gereji muda si mrefuMliosema “Magufuli hampendi Mwinyi anapretend tu” sasa kesho muwe macho muone support.
Mkutano mkubwa kuliko tunausubiri hapo kesho katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
PICHA: Jinsi Dkt. Magufuli alivyowasili visiwani Zanzibar
View attachment 1588437
View attachment 1588438
View attachment 1588439
PROMO:
View attachment 1588395
kama magu ni smart basi wewe utakuwa hamnazo kabisa!Hakika mwenyezi Mungu, amelibariki taifa langu kwa kutupa kiongozi smart Sana.
Hata akina Mobutu, Gadhafi nk. walibana mwisho siku wakamaliza kwa aibu .Natamani Magufuli baada ya kuapishwa kwa kupindi cha pili azidishe kubana kabisa tena awashugulikie wote wale wanaoenda kinyume na mipango yake na wanao mchukia nao awashugulikie kwelikweli maana hatakuwa na cha kupoteza
NdioBaada ya hapo gari ya Mkaa itaelekea gereji kwa siku 7