kibwengomfupi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 675
- 677
Nimawazo yako tu, vodacom hawausiki, Ni mitambo kutoka Israel, hata email wakiamua kudukua watadukua tu
Yangu imeshageuka kuwa majivu. Inakera Sanaaaaaaa. Kilangila.Ningefurahi sana kama wote tunao miliki line za VODA tungefanya kama wewe hapa, of course mi nimeisha fanya ivyo, mambo yote yapo line zingine, VODACOME tupilia mbali kule. Hawaheshimu privancy za watu na sisi tuwaadhibu kwa njia hiyo tu, period
Unafadhili udikteta bila kujijua. Kilangila.Bora nimejua kumbe nikinunua bando nachangia CCM, asante kwa kunisaidia hilo.
VODACCM Tulikupenda, lakini Israili Mtoa Roho amekupenda zaidi. Tangulia kuzimu ukalale mahali pabaya peponi. Kilangila.By dr. Remmy: kifoooo, kifooo kifoooo kifoooo kifo Hakina huruma, ....tulikuwa na vodacom, ilifanya vizuri sana , ukaja weee vodaccm kifo ndio kimekuchukua, voda kwa heriii, kumbe mnatudukua
Hongera Sana. Kilangila.Nalazimika kuitupa hii line ya voda
Acha uongo,Vodacom ipo sana mjini vijijini kidogo sana
Misingi ya biashara inataka biashara iwe na loyalty kwa wateja. Si kwa viongozi wa kisiasa.Watanzania wanashangaza sana.
Vodacom inamilikiwa na Ccm kama mwanahisa, kwa hali yoyote, Vodacom haiwezi kukubali mmiliki wake ahenyeshwe wakati wanaweza kutoa taarifa kwa chama kuhusu mambo mbalimbali yanayofanyika kupitia mtandao wa vodacom yanayokidhuru chama.
Binafsi nawapongeza vodacom kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa kwa chama tawala.
Wale wenye nongwa, kuna mitandao mingine wala hamjalazimishwa kubaki vodacom, nendeni mjiunge na mitandao ya mabeberu
We naye ni mjinga mwingine. Kwani celtel siilikuwa imeshauzwa kwa ZAIN na ZAIN akaiuza kwa Barti Airtel? Nchi ilivyofatilia haki zake haijapata?
Ona huu ujinga yani umeshabebwa na mazwazwa ya kisiasa tayari?
Wewe una siri gani Mpaka voda wahangaike kuliweka hadharani?
Pumbavu kabisa! Basi usitumie simu kabisa, maana kama una baya lolote utapatikana tu.
Mm siwezi kuhangaika eti nisuse mtandao kisa huo ujinga wenu wa siasa. Hivi kwa akili yako unafikiri kuna mtu anahangaika na kufuatilia kutongazana kwako kila siku na kina mwajuma.?
Voda ni jipu, mi nimerudi TTCL na HALOTEL