Daaa mzee vp tena ha haKwamba?
Daaa mzee vp tena ha haKwamba?
Kuna mwanafalsafa aliwahi sema
"free things are never served with respect, learn to hustle"
Leo hii Sirro anakua balozi same as Polepole tena Zimbabwe huku akina Hoyce Temu wakipewa balozi nchi nzito nzito huko Ulaya.
Mtaelewa lini kwamba nchi hii itakuwa bora zaidi kama itakuwa na taasisi imara badala ya kusifia sifia tu??Hongera Wambura
Kuchapa kazi kinalipa.
Ninamkubali alipokuwa kinondoni kabla kuhamishwa majambazi yalinyooka na kushika adabu
Hata mama Samia aliwahi.muongelea kama akilalamika uhamisho wake.akihutubia .Ali sent message sijui kama wasikilizaji wahusika walielewa ile meseji.
Kifupi majambazi nchi nzima yajiandae
Wambura ndio.eneo lake analolipenda yatakiona cha mtema kuni.
Kuna Ubaya?Naona mama Samia kaanza tena kuleta mkeka usiku wa manane. IGP kutoka kanda ile ile
Ila aliyekuza anazo?Huyu maza hana akili
Kingai kule alikuwa anafata alichokuwa anaelekezwaKazi NZURI.
Uteuzi wa kingai,umetia doa.
Mabeyo hakuwa na tatizo..hana tatizo. na ndio maana alikuwa na muda mzuri wa kuaga kila mahali.Mabeyo aliona dalili.
Kumbe ni Member wa JF?!Rais yoyote mwenye Akili Timamu ni lazima tu atateua Watu wa kutoka Kanda Maalum ( Kwetu Mkoani Mara ) kushika hizi Nafasi za Taasisi Nyeti na za Kimedani.
Kiulinzi na Kiusalama nchi ikiwa chini ya wana Medani wa Mkoani Mara ( Musoma ) itakuwa salama muda wote na Wananchi watafurahi.
Hongera yako sana Poti wangu wa Kikurya na Kizanaki IGP Wambura ila usiache tu mara moja moja kuja Kijiweni Mbezi Beach kwa Mzee Juma ( Mpwae Mzee Nimrod Mkono) kula Nyama na kupiga nasi Stori Nduguzo Wazanaki.
Pia usiache kwenda kuwatembelea Wazee wako unaowaheshimu na Kuwapenda kutokana na Utendaji wao mkubwa na Uliotukuka wenye Uzalendo kwa Taifa hili Wazanaki Wawili akina Mzee Butiku pale Kwake Mabwepande na yule Mwingine ( namhifadhi ) aishiye Jirani na Coco Beach ambao ndiyo walikuwa Mwalimu Nyerere's Think Tanks na bado wanaendelea kutumika Kiushauri mpaka sasa.
Wana Mara ( Musoma ) tunakuombea Majukumu mapya mema, Usiogope, Usitishwe, Jiamini, usimuangushe Rais Samia na mtangulize mno Mwenyezi Mungu kwani najua kuanzia sasa idadi ya Maadui zako itaongezeka.
Mengine nitaongea nawe Inbox Oky?
Polepole Yuko Malawi hapo mzee wanguKuna mwanafalsafa aliwahi sema
"free things are never served with respect, learn to hustle"
Leo hii Sirro anakua balozi same as Polepole tena Zimbabwe huku akina Hoyce Temu wakipewa balozi nchi nzito nzito huko Ulaya.
Kingai atakuwa amepewa asante kwa kazi ya kijinga aliyopewa na mama ya kumsulubu MboweKingai kapandishwa cheo,anakuwa DCI!this is like tap on shoulder!mama anatumia the same script aliyotumia mwendazake,anayechukiwa,ndio unampa cheo zaidi,kama alivyokuwa makonda kwa JPM,sasa huyu mwamba aliyekuwa anaandaa kesi za mchongo Ili kufunga wapinzani,leo anakuwa bosi wa idara ya kuchunguza kesi,"mwenye sumu kaingia hotelini kula,akaambiwa na mwenye hotel,njoo uwe mpishi kabisa jikoni"walaji hawapo salama.
Sio kweli..Kingai yupo miaka mingi jeshini, Kesi ya juzi haina uhusiano na kupanda kwake.Popularity ya Kingai kwa sehemu kubwa imepaishwa na kesi ya Mbowe huo ndio ukweli, RPC wengi media ndio zimewapaisha.
Nawasilisha nikitokea
Kwa "PUT IN"