Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 305
- 519
KAMISHNA wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (Public Private Partnership-PPP) chini ya Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila, amesema hadi kufikia 2027 India itakuwa Nchi ya tatu kwa ukubwa wa Uchumi Duniani.
India wana Miradi ya PPP 998 katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.
Tuna mengi ya kujifunza kwao. Msikilize hapa
India wana Miradi ya PPP 998 katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.
Tuna mengi ya kujifunza kwao. Msikilize hapa