3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 4,890
- 13,630
Duuh kamati imejaa wazee watupu kwa kasi hii ya teknolojia kweli wanaenda nayo maana wanaweza kutumia maudhui waliyofundishwa enzi ya soviet ya zamani leo hivyo kuona kila kitu ni makosa ya kuwafungia watu.
Wajaribu kuwekewa na damu changa ili kuwasaidia mawazo mapya
Wajaribu kuwekewa na damu changa ili kuwasaidia mawazo mapya