Kamati Kuu CCM yakutana Ikulu, Dar

Kamati Kuu CCM yakutana Ikulu, Dar

Wana ofisi pale Lumumba, kwanini wasiwe wanakutana hapo? Hivi Ikulu ni ofisi ya chama? Hayo ni matumizi mabaya ya rasmali za serikali kwa manufaa ya chama kimoja. Mwenyekiti wao anatakiwa kupelekwa darasani!

Mbona hata kina Dr Slaa waliwahi kukutana ikulu na JK ? lakini nyie kinawauma nini wakati sio Rais wenu ? Rais wenu c Dr Slaa au ni lini CDM walibadili msimamo wa kumtambua JK kama Rais??
 
Mbona hata kina Dr Slaa waliwahi kukutana ikulu na JK ? lakini nyie kinawauma nini wakati sio Rais wenu ? Rais wenu c Dr Slaa au ni lini CDM walibadili msimamo wa kumtambua JK kama Rais??



Haise mwigulu hyo skafu yako uzalendo au ushamba? We mnyampaa
 
MWALIMU NYERERE:
IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI- Reminds one of Ali Baba and forty thieves.
 
Nikuulize wewe unayeshabikia upumbavu


Ninadhani hadi wakati huu, kama bado hujafanywa msukule, utakuwa umejitambua ni namna gani unabeba lumbesa zilizojaa zaidi ya huo up'mbavu uanoonekana kama vazi lako. Tumia kichwa chako, usibebe mizigo ya watu bila kujitambua kama msukule!.

Ungekuwa na ufahamu japo kidogo wa kwako, ungeona haya kuwaambia wengine wanapanga kana kwamba raslimali wanazotumia ccm ni za kwao. Nasikia hata misukule kuna wakati wanapataga fahamu wanaanza kulia machozi japo hawasemi!. Wewe vipi? Una nafasi ya kubadilika bado!
 
Nd'o mkome watanzania kuchagua rais asiyetosha kichwani.
 
Wakuu,

Taarifa toka chanzo chetu Magogoni ni kuwa Kamati Kuu ya CCM ninapoandika wapo Ikulu na inahisiwa watajadili hali ya kisiasa nchini (UKAWA, Bunge la Katiba na Mtikisiko unaoletwa na 'Wagombea Urais') na kuandaa Agenda za Kikao cha NEC kitakachofanyika Mbeya hivi karibuni.

Zaidi, tegeni masikio

==========

UPDATE:

attachment.php

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM jijini Dar es salaam leo

magamba matutusa makubwa! yaache yahangaike!
 
Ikulu ya Watanganyika kwa ajili ya Mafisadi.iiiiiiwiiiiii!Mwenyezi mungu shusha gharika ya moto iwameze.
attachment.php
 
Mbona vyama vingine navyo vimewahi kukaribishwa ikulu na vikafanya vikao na rais. Lakini wale wanaokumbuka hata enzi za mwalimu pia.
hii nchi imeyumba,iko mahututi yaani vikao vya chama vinafanyika ikulu?
 
Mtalalama wenzenu wapo kazini, tena hakuna maji wala juice, wanapanga mikakati ya kusimamia Chama na hatima ya taifa
 
Wanashindwa kutafautisha chama na serikali wao wanaona kwa kuwa raisi ni wao kwa hivo kila kitu ni chao. Kuna wasomi kama akina Kinana lakini vichwa maji tuu.
 
Bavita nawasikitia sana mnakuwa na mawazo mgando na hata maana ya vikao hamjui. Mmekaa kijuha juha kama hamnazo vile!!!. Hivi humu ndani kuna aliyeenda shule kweli au mnajua tu kuandika na kusoma kihafifu. Mnashindwa kujua kuwa kila kundi lina katiba na katiba inaagiza nini hasa kuhusu vikao na mikutano. Bahati mbaya naongea na mazoba, majitu yasiyojitambua hata kidogo. Mnakuja humu na tahaswisi nyepesi mno amabazo hata mtoto wa darasa la pili hatazidharau. Haiwezekani watu wasifanye vikao vyao kwa ratiba yao heti watu uchwachwa na uchwara watazungumbumza kimbumbumbu na wakti wanajua hao ni hamnazo na mazoba wa kutupwa. Kweli tumbili ni tumbili tu hawezi kuwa nyani hata kidogo. Kwa heri mazoba endelea kuzungumza ufala kama mlivyo watu wanapiga kazi

acha jazba leta hoja.
 
Kamati kuu haina muda wa kujadili UKAWA kuna mambo mengi ya kufanya.
 
Ukinywa gongo inakimbilia kwenye akili.

Mwalimu
Nyerere aliposema "...ikulu sio pango la walanguzi...." hatukumuelewa!
Yaani hawahawa walanguzi wanao kwaza kupatikana kwa katiba ya wananchi
huku wakinunua kwa kulangua bei kila wanaye muona atawaokoa kuhadaa
wananchi ili kudharau maoni yao kwenye rasimu ya tume ya warioba ndio
haohao wanakutana pale pale ambapo mwalimu Nyerere huyohuyo alisema kuwa
"...Ikulu ni mahali patakatifu..."

Wakati mwingine huwa nafikiria kuwa huenda miongoni mwa watoto wakorofi
wa Msafari wamepiga machata na kuchora picha za wachumba zao kwenye kuta
za ikulu... Mungu aepushie mbali
 
Back
Top Bottom