Kamati Kuu CCM yakutana Ikulu, Dar

Kamati Kuu CCM yakutana Ikulu, Dar

Nasikia agenda nyingine ni watafanyaje tushashtukia propaganda za Meena ni fake na Balali yupo hai...
Watajinyea mwaka huu wezi wakubwa hawa!!
 
Ccm wanajificha ikulu yetu sasa hivi
Kweli kikwete ana zarau mbaya sana
 
Na tumeyatega kweli kweli.Cha muhimu wakubali kwenda kujadili Rasimu ya Warioba na mambo yendelee.Basi. Lakini,Ikulu kunaweza kufanyika kikao cha chama?

cc Informer

mkuu na mimi nilikuwa nina swali mfanano je ikulu ni sehemu sahihi ya kufanyikia kikao cha chama
 
nape kesho anakuja na press conference ya magazeti ya uhuru
 
Kwa mujibu wa Nape wazee wanasubiri kufa na
Kwa mujibu wa Makamba Jr. sasa ni zamu ya vijana kushika hatamu. Je haya wanayojadili hawa wazee ni kwa manufaa ya nani maana kama vijana wao wanawaona wamechoka na hawawezi.Natumai kwa kuwa CC 90% ni wazee hakuna la maana hapo
 
Chanzo chetu cha habari mpaka magogoni ndani,Teh teh teh,watajificha Sana lakini kabla hawajamaliza habari tunazo hata wajifukie tutawanasa tu!
 
Kama mateja, wapiga muziki wanaenda Ikulu ndiyo ije kuwa hawa wahuni
 
CCM imemteuwa Philip Mangula kuongoza timu ya wataalam itakayoandaa ilani ya chama hicho uchaguzi ujao serikali za mitaa,
 
Namsubiri vuta nikuvute alete ripoti ya kikao!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Hapo ndo wanapofundishana mipasho,kejeli,majungu na matusi hawana tofauti na waimba taarab
 
Kwa nini huyu jamaa wa msoga hajakaa kule kwenye Picha ya Mwalimu? na hiyo Picha pembeni ya Mwalimu ni nani huyo Mama Salma?
 
Eti nini Ikulu?????

BACK TANGANYIKA

Ikulu ni sehemu takatifu..Mwl Nyerere alishasema..si waende Lumumba? Mikakati ya chama inafanyika kwenye ofisi yetu? Wengine sisi sio wanaCCM bana hii ni ofisi ya Umma..mfano pale Wizara ya fedha Mwigulu akiitisha mkutano wa chama si mtamshambulia? Kwanini Ikulu mnakaa kimya? Welcome Back Tanganyika...
 
Back
Top Bottom