DavidMoyes
Member
- Apr 22, 2014
- 52
- 15
chama cha watu makini kinajadili ajenda makini na muhimu..ukawa sio ajenda ya CCM na haitakuwa ajenda kamwe.
IKULU ni mali ya CCM au Watanzania wote hadi siye tusio na itikadi za vyama?
chama cha watu makini kinajadili ajenda makini na muhimu..ukawa sio ajenda ya CCM na haitakuwa ajenda kamwe.
Dr Slaa hana hoja zozote zaidi ya kuendelea na ushenzi wake wa kulalamika na kudai eti ana nyaraka za siri
watakutana sana mwaka huu ila wajue n'gombe hanenepi siku ya mnada.
Bavita nawasikitia sana mnakuwa na mawazo mgando na hata maana ya vikao hamjui. Mmekaa kijuha juha kama hamnazo vile!!!. Hivi humu ndani kuna aliyeenda shule kweli au mnajua tu kuandika na kusoma kihafifu. Mnashindwa kujua kuwa kila kundi lina katiba na katiba inaagiza nini hasa kuhusu vikao na mikutano. Bahati mbaya naongea na mazoba, majitu yasiyojitambua hata kidogo. Mnakuja humu na tahaswisi nyepesi mno amabazo hata mtoto wa darasa la pili hatazidharau. Haiwezekani watu wasifanye vikao vyao kwa ratiba yao heti watu uchwachwa na uchwara watazungumbumza kimbumbumbu na wakti wanajua hao ni hamnazo na mazoba wa kutupwa. Kweli tumbili ni tumbili tu hawezi kuwa nyani hata kidogo. Kwa heri mazoba endelea kuzungumza ufala kama mlivyo watu wanapiga kazi
Wakuu,
Taarifa toka chanzo chetu Magogoni ni kuwa Kamati Kuu ya CCM ninapoandika wapo Ikulu na inahisiwa watajadili hali ya kisiasa nchini (UKAWA, Bunge la Katiba na Mtikisiko unaoletwa na 'Wagombea Urais') na kuandaa Agenda za Kikao cha NEC kitakachofanyika Mbeya hivi karibuni.
Zaidi, tegeni masikio
==========
UPDATE:
![]()
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM jijini Dar es salaam leo
Kwa akili yako unaona Ukawa wanaitisha ccm,Watanzania mnachekesha,kuna nini kipya,Lipumba yuleyule,Slaa yuleyule,Mbatia yuleyule unajua mnatakiwa mfikiri zaidi ya upuuzi huu wa ukawa
Bavita nawasikitia sana mnakuwa na mawazo mgando na hata maana ya vikao hamjui. Mmekaa kijuha juha kama hamnazo vile!!!. Hivi humu ndani kuna aliyeenda shule kweli au mnajua tu kuandika na kusoma kihafifu. Mnashindwa kujua kuwa kila kundi lina katiba na katiba inaagiza nini hasa kuhusu vikao na mikutano. Bahati mbaya naongea na mazoba, majitu yasiyojitambua hata kidogo. Mnakuja humu na tahaswisi nyepesi mno amabazo hata mtoto wa darasa la pili hatazidharau. Haiwezekani watu wasifanye vikao vyao kwa ratiba yao heti watu uchwachwa na uchwara watazungumbumza kimbumbumbu na wakti wanajua hao ni hamnazo na mazoba wa kutupwa. Kweli tumbili ni tumbili tu hawezi kuwa nyani hata kidogo. Kwa heri mazoba endelea kuzungumza ufala kama mlivyo watu wanapiga kazi
Kikao anachoingia Nape huwa hakina jambo la maana sana litakaloamuliwa..ajenda ya mtoto wa rais kutaja majina 11 ya wanaofaa kuwa ma rais haitajadiliwa?
Mapepo yamekutana Ikulu..
Kimwete ameshusha heshima ya ikulu....kikwete ameshusha hadhi ya urais..kikwete ni janga la taifa.
UKAWA. ..tafadhalini msisitize kwenye katiba mpya kuwa "rais wa chama kitakachokuwa tawala...asiwe mwenyekiti wa chama." Ili kutenganisha mambo ya chama yasibwebwe na rais..hiyo itasaidia kutotumia madaraka vibaya kama anavyofanya kikwete...itasaidia pia kutotumia nguvu ya vyombo vya dola kama jeshi, polisi, mahakama, waalimu, wakuu wa wilaya, wakuu wa mkoa na viongozi mbali mbali wa serekali ya chama tawala.
Upuuzi kama huu ili usiwepo, ni lazima rais asiwe mwenyekiti wa chama chochote kile.
Hadhi ya ikulu imeshuka mpaka eti diamond naye anaitwa ikulu. Ni aibu