Kamanda Msangi kupelekwa jijini Dar?

Kamanda Msangi kupelekwa jijini Dar?

We mpaka unamtamani mwanaume mwenzio na kuvutiwa naye macho yake....sidhani kama mtandao pendwa wako utakuwa salama unanasa mawimbi......@loading
😱😱😱 Mkuu, usiwe na shaka na mtandao wangu pendwa... Uko salama salimini. Naulinda kuliko hata mboni yangu ya jicho...
 
Kuna nafikiri huyu ndiye ambaye anaweza kumrithi IGP SIRO kwa Dar. Mkumbo wa Arusha kurudi Mwanzaaa?Wasalimie Dar kamanda Msangi, Kachero mbobezi.
Huyu alikimbiwa na majambaz kule milimani????
 

Ngongo JF-Expert Member
#14
Jun 29, 2012

Joined:Sep 20, 2008
Messages:12,027
Likes Received:3,367
Trophy Points:280
Msangi alikuwa Usa River Arusha kipindi chake ukisikia ndugu yako kapelekwa kituo cha Polisi Usa unaanza kuandaa taratibu za mazishi.ACP Msangi ni aina ya vijana waliopandishwa madaraja haraka haraka kwasababu Marehemu Baba yake Mzee Msangi alikuwa RPC katika mikoa mbali mbali kabla hajastaafu akahakikisha kijana wake anawekwa sehemu nzuri.

Sishangai sakata la Dr Ulimboka kuhusishwa na ACP Msangi hawa vijana hawako polisi kwaajili ya maslahi ya Tanzania bali wako kwaajili ya watawala wako tayari kufanya jambo lolote kwa maslahi ya watawala.
 
Msangi kabobea kwenye ukachero ...nchi imemsomesha nchi tofauti akizama zaidi kwenye ukachero ....hivyo ni Kachero first class ....
 
ernest mangu hata pangiwa ofisini tu kukaa kunywa chai na kusoma magezeti mpàka hatakapo hamua kustaafu
 
Habari za ndani ni kwamba baada ya kamanda sirro kuteuliwa igp, kamanda wa polisi mkoa wa mwanza dcp ahmed msangi analetwa dsm kuwa kamanda kanda maalum.hii inatokana na utendaji wake uliotukuka usio na chembe ya mashaka hata kidogo...karibu dar dcp msangi
.
Huyu siye yule aliyemteka Dr Ulimboka ?
 
Back
Top Bottom