Msungu inv
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 260
- 188
Uliza waandamanaji wa chadema mbeya. Aliwaambia atawafanya kitu hawatosahau maishani mwao. Maandamano yakaisha pale paleYou are right.
Uliza waandamanaji wa chadema mbeya. Aliwaambia atawafanya kitu hawatosahau maishani mwao. Maandamano yakaisha pale paleYou are right.
Kile kigugumizi huwa kina mshindo mkuuMsangi hana utu hata kidogo sio mtu
Fanya uhalifu utamuelewa yukojeacheni propaganda, naye ni mpigaji dili tu hamna alichofanya hapa mwanza
Tunakuhitaji polisi uje utusaidie kutokomeza uhalifu. Umesema uko wapi?Muda mwingi nilikuwa naangalia pumba za wachangiaji wachache sana ambao wanadai wanamfahamu msangi. Huyu hana uadilifu wa aina yoyote, Mimi nilianza kumjua wakati naishi morogoro mwaka 2001 enzi zile kuna kijana mdogo wa kichaga nitamkumbuka jina baadaye aliyekuwa supplier mkubwa wa bia ambaye alikuwa na fedha nyingi zilizotokana na kuwa planner wa ujambazi uliokuwa ukifanyika kwenye mapoli yaliyopitiwa na barabara za michepuko wakati barabara ya chalinze - moro ilipokuwa inajengwa. Uporaji aliokuwa akiufanya yule kijana kwa kutumia kundi lake msangi alikuwa akiujua vizr wakati ule akiwa Rco-moro na alipomdhurumu tu alituma askari kwenda kumuua yule bwana mdogo kwenye geti la nyumba yake. Muwe mnaandika vitu vya uhakika humu ninyi hamumfahamu huyu mtu
tren ipi bwege wewe?wapi amechukiwa?nimejaribu kuonesha wasifu wake,acha kudandia treni kwa mbele
Abaki MWANZA amepamuduKuna nafikiri huyu ndiye ambaye anaweza kumrithi IGP SIRO kwa Dar. Mkumbo wa Arusha kurudi Mwanzaaa?Wasalimie Dar kamanda Msangi, Kachero mbobezi.
Hapana mkuu usimsingizie kamanda wetuUpo sahihi kabisa.Msangi ni moja wa makamanda katili kabisa kuwahi kutokea katika jeshi la polisi
Kuna nafikiri huyu ndiye ambaye anaweza kumrithi IGP SIRO kwa Dar. Mkumbo wa Arusha kurudi Mwanzaaa?Wasalimie Dar kamanda Msangi, Kachero mbobezi.
Yupo zima fireThobius Andengenye where u at broh
Kwani kosa letu ni nini??
Mkuu hii issue kuna mzee mmoja alikua RPC mahali aliwahi kunisimulia, lakini mimi niliichukulia kama mzaha aisee.Muda mwingi nilikuwa naangalia pumba za wachangiaji wachache sana ambao wanadai wanamfahamu msangi. Huyu hana uadilifu wa aina yoyote, Mimi nilianza kumjua wakati naishi morogoro mwaka 2001 enzi zile kuna kijana mdogo wa kichaga nitamkumbuka jina baadaye aliyekuwa supplier mkubwa wa bia ambaye alikuwa na fedha nyingi zilizotokana na kuwa planner wa ujambazi uliokuwa ukifanyika kwenye mapoli yaliyopitiwa na barabara za michepuko wakati barabara ya chalinze - moro ilipokuwa inajengwa. Uporaji aliokuwa akiufanya yule kijana kwa kutumia kundi lake msangi alikuwa akiujua vizr wakati ule akiwa Rco-moro na alipomdhurumu tu alituma askari kwenda kumuua yule bwana mdogo kwenye geti la nyumba yake. Muwe mnaandika vitu vya uhakika humu ninyi hamumfahamu huyu mtu
Polisi usipokuwa Katili huwezi kufanya kazi kwa sab majambazi nao sio baby sittersmapolisi utawajua tu humu...huyu msangi ana ukatili flani hivi nishamkumbuka
Kwenye kaya yetu watu hawapewi madaraka au kazi kwa misingi ya kabila, dini,rangi au sehemu wanayotokea..unapewa kazi au madaraka kwa kuzingazitia taaluma yako na uwezo wako..na kama ulichosema kipo basi...ni hatari sana kwa mustakabali wa kaya yetu.. Kikubwa Watanzania tupendane na tusianze kubaguana kwa sababu zisizo na mashiko..hao uliowata wangekuwa wameshika madaraka makubwa kwenye kaya yetu ingekuwaje??..sifa kubwa ya uliotaja ni uwezo wako wa kufanya kazi kwa bidii na baraka zinazoambatana nao na kizazi chao..na wakiongoza sehemu au taasisi yoyote inakuwa na mafanikio sana(jaribu kufuatilia utaona)..na ninaamini wakija kushika madaraka makubwa ndani ya kaya yetu..kaya yetu hakika itapaa haraka Sana kiuchumi na maendeleo ya mtu mmoja mmoja...na ushauri wangu kwa mkuu wa kaya yetu awashirikishe hawa watu kwenye uongozi wake..ataona watakavyomletea maendeleo katika uongozi wake..sababu ni watu wanaojua maendeleo nini na wanachapa kazi na "wamebarikiwa...hili ni katika ulimwengu wa Roho"Jamaa analo bifu na chaga sababu ya kwanza kwamba hawa jamaa awajamchaguwa kipindi kile na sababu ya pili hawa chaga wana undugu sana kwenye kazi pia ni wezi sana nao ndio walio tufikisha hapa kwa wizi wao pale bandari na t r a walijazana sana kwa hili na mpongeza magu kulijuwa mapema hata kwanye chama chao kina chaga wengi
Huyo Sabas yupo wapi kwa sasa???Nahisi DSM anaweza kupewa DCP Liberatus Lyimo Sabas ambapo spirit yake jumlisha ile ya Sirro,lazima watu wakubali huo mziki
Hivi Dr. Ulimboka yuko wapi?Habari za ndani ni kwamba baada ya kamanda sirro kuteuliwa igp, kamanda wa polisi mkoa wa mwanza dcp ahmed msangi analetwa dsm kuwa kamanda kanda maalum.hii inatokana na utendaji wake uliotukuka usio na chembe ya mashaka hata kidogo...karibu dar dcp msangi
Mnalijua vizuri ila mlisamehewa mei mojaKwani kosa letu ni nini??