Kamanda Msangi kupelekwa jijini Dar?

Kamanda Msangi kupelekwa jijini Dar?

Sio wa kaskazini, bali nazungumzia sie ambao kuanzia jana tumeanza kubadili ratiba za kula hatuli day time mpaka siku 29 au 30 zipite
Itakuwa amebadirishia gia angani, hataki kuangalia na upande wa pili, kama watangulizi walivyokuwa wanafanya. Kama wa safari hii alikuwa anafunga siku 30, basi anayefuata ni wasiku 40. Mambo yalikuwa yanaenda sawa kwa sawa.
 
Mkuu wa mkoa Pwani kwenda Kilimanjaro
Mkuu wa wilaya Knondoni kuwa mkuu wa mkoa Tanga
Mkuu wa mkoa Tanga kuhamia Rukwa
Mkuu wa mkoa Rukwa kuhamia Pwani
Mkuu wa wilaya Bagamoyo kwenda Knondoni
Mtu mpya kuteuliwa kushika nafasi Bagamoyo (toka Lumumba, sura mpya kabisa)
Kamanda Iringa to Mwanza
Kamanda Mwanza to Dar
Afisa mmoja wapo toka makao makuu kuteuliwa kuwa kamanda Iringa.
Nimeoteshwa stay tune tuone kama itakuwa kweli.
 
Tusisahau lakini kuwa kamishna kanda maalum anateuliwa na Rais na sio IGP kama anavyoteua ma RPC
 
Itakuwa amebadirishia gia angani, hataki kuangalia na upande wa pili, kama watangulizi walivyokuwa wanafanya. Kama wa safari hii alikuwa anafunga siku 30, basi anayefuata ni wasiku 40. Mambo yalikuwa yanaenda sawa kwa sawa.
Mbona wa siku 30 alikua ana-balance??
Huyu kila siku wale wale, kila siku walewale
 
Je mnakumbuka yaliyompata Dr. Ulimboka? Masikini Dar, naona orodha ya watekaji na watesaji ndani ya jiji inazidi kuongezeka!

Flashback: Julai, 2012...

ASKARI anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
 
Mkuu wa mkoa Pwani kwenda Kilimanjaro
Mkuu wa wilaya Knondoni kuwa mkuu wa mkoa Tanga
Mkuu wa mkoa Tanga kuhamia Rukwa
Mkuu wa mkoa Rukwa kuhamia Pwani
Mkuu wa wilaya Bagamoyo kwenda Knondoni
Mtu mpya kuteuliwa kushika nafasi Bagamoyo (toka Lumumba, sura mpya kabisa)
Kamanda Iringa to Mwanza
Kamanda Mwanza to Dar
Afisa mmoja wapo toka makao makuu kuteuliwa kuwa kamanda Iringa.
Nimeoteshwa stay tune tuone kama itakuwa kweli.
Huu ni ubashiri, utabiri, mapendekezo au maono??
 
Back
Top Bottom