jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,853
- 7,629
Aendelee kufyeka wale majmbazi na majangili wenye pikipiki za boxers, hakuna huruma, wakitoa vya moto wakutane na vya moto mara 10 vya polisi wetu..Habari za ndani ni kwamba baada ya kamanda sirro kuteuliwa igp, kamanda wa polisi mkoa wa mwanza dcp ahmed msangi analetwa dsm kuwa kamanda kanda maalum.hii inatokana na utendaji wake uliotukuka usio na chembe ya mashaka hata kidogo...karibu dar dcp msangi