pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Tatizo nahisi elimu, sidhani kama ni graduate.
Sawa poti tumekusikiamsangi ambaye kwa sasa yupo mwanza, ndiye anayefaa kuliko wote. ni mtu ambaye nilishafanya naye kazi, ni mpole, anajichanganya sana, unaweza kumkuta sehemu usiamini kama ni rpc, na anafanya kazi. anafaa aende dsm.
Aise umemezeshwa udini na ukabila,kamishna wa madawa anatoka kanda ipi kweli,1. Kaskazin
2. Ile Dini
Sahau
Sifa moja wapo ya kamanda lazima awe katili dhidi ya wahalifu,mhalifu si wa kuchekea wala kunyenyekea.Upo sahihi kabisa.Msangi ni moja wa makamanda katili kabisa kuwahi kutokea katika jeshi la polisi
Kamanda wa Kanda Maalum anateuliwa na Raisi kwa taarifa yako kama ulikuwa hujuiAise umemezeshwa udini na ukabila,kamishna wa madawa anatoka kanda ipi kweli,
Mwenyekiti kamati ya uchunguz wa madini ni dini gani?
Acha fikra za ukanda na udini afterall kamanda wa kanda maalum hateuliwi na rais bali polisi yenyewe
Sabas yupo CID HQ kwenye Task force mkuuHuyo Sabas yupo wapi kwa sasa???
Huu ni udhalilishaji, akikubali atakuwa boyaNimewaza hivyo hivyo mkuu
Mi e nikimaanisha sio wa Kaskazini nimesema bana,Mnalijua vizuri ila mlisamehewa mei moja
kesi yako ya mirungi imeishaacha uongo najua mnamchukia kwakua DCP sio mtu wa mchezo mchezo na hana njaa msangi hahongeki na harubuniki kirahisi......mnamuonea wivu tu ninatazama siku za usoni huyu jamaa atakuja kua IGP au hata mtu mkubwa saaana huko Interpol
kesi yako ya mirungi imeisha
nakuuliza tu ila uache kuropokaropokahapana mheshimiwa hakimu nipo jela miaka 17 imeunganishwa na ya bangi na madawa ya kulevya....
umefurahi sasa
kesi yako ya mirungi imeisha
hapana mheshimiwa hakimu nipo jela miaka 17 imeunganishwa na ya bangi na madawa ya kulevya....
umefurahi sasa
nakuuliza tu ila uache kuropokaropoka
mapolisi utawajua tu humu...huyu msangi ana ukatili flani hivi nishamkumbuka