Kamanda Msangi kupelekwa jijini Dar?

Kamanda Msangi kupelekwa jijini Dar?

Habari za ndani ni kwamba baada ya kamanda sirro kuteuliwa igp, kamanda wa polisi mkoa wa mwanza dcp ahmed msangi analetwa dsm kuwa kamanda kanda maalum.hii inatokana na utendaji wake uliotukuka usio na chembe ya mashaka hata kidogo...karibu dar dcp msangi
Kamanda Msangi ndio yule kipindi kile alihusishwa na sakata la kumteka na kumtesa Dr.Ulimboka?

Maana Dr.Ulimboka akiwa ICU pale Muhimbili alimkumbuka kwa sura na akasema huyo ndio alichukua simu yake na wallet yake wakati akiteswa!!?
 
Nahisi DSM anaweza kupewa DCP Liberatus Lyimo Sabas ambapo spirit yake jumlisha ile ya Sirro,lazima watu wakubali huo mziki
Acha kutungia watu majina, kama humjui nyamaza. Liberatus nimesoma naye HGE Galanos, haitwi Lyimo.
 
Aise umemezeshwa udini na ukabila,kamishna wa madawa anatoka kanda ipi kweli,
Mwenyekiti kamati ya uchunguz wa madini ni dini gani?
Acha fikra za ukanda na udini afterall kamanda wa kanda maalum hateuliwi na rais bali polisi yenyewe
Kwahiyo hao wawili ndiyo shea yao eti? Wanyamaze sasa kwa kuwa hao wateuliwa wawili, tosha sana! Asante mkuu!
 
Wamebebwa pia wanajiongeza sana kujipendekeza hasa awamu iliyopita!!! Maana hata ile issue Ulimboka huyu Msangi wa Mwanza ndio aliefanya ule ukatili.......akiwa Dar akazawadiwa RPC......!!! Aliweza kumpoteza na kumzima Ulimboka!!! Ule mgomo ukaisha!!!
Wamerithi au kubebana mkuu?!!!
 
Wamebebwa pia wanajiongeza sana kujipendekeza hasa awamu iliyopita!!! Maana hata ile issue Ulimboka huyu Msangi wa Mwanza ndio aliefanya ule ukatili.......akiwa Dar akazawadiwa RPC......!!! Aliweza kumpoteza na kumzima Ulimboka!!! Ule mgomo ukaisha!!!

Tunamkumbusha asijisahau sana na hii dunia. Afanye kazi kwa uadilifu huku akichunga haki za watu. Ajue kuwa afanye afanyalo uhai ni mfupi na kwa Mola wake atarejea na dhuluma zote alizowafanyia viumbe wa Mungu ataulizwa na atalipwa. Pia, hawa wanaomtuma huku duniani kufanya hata yasiyostahiki hawatamsaidia lolote siku hiyo atakapokuwa mbele ya Mola wake. Kila mmoja wetu atambue kuwa Mola anatuona na anatusubiri.
 
Aise umemezeshwa udini na ukabila,kamishna wa madawa anatoka kanda ipi kweli,
Mwenyekiti kamati ya uchunguz wa madini ni dini gani?
Acha fikra za ukanda na udini afterall kamanda wa kanda maalum hateuliwi na rais bali polisi yenyewe
Nakujibu kama family friend,
Mwenyekiti wa kamati ya madini Prof. Mruma ni mkristo "Pure", tena ni mzee wa kanisa. Alibadili dini kuwa mkristo ingawa mdogo wake anaemfuatia ni Alhaj. Hakutaka tu kubadili jina kwenye vyeti sababu dini hiyo alibadili ukubwani hivyo ingeleta mkanganyiko kwenye vyeti vyake vya awali.
 
Back
Top Bottom