Kamanda Msangi kupelekwa jijini Dar?

Kamanda Msangi kupelekwa jijini Dar?

Jamaa analo bifu na chaga sababu ya kwanza kwamba hawa jamaa awajamchaguwa kipindi kile na sababu ya pili hawa chaga wana undugu sana kwenye kazi pia ni wezi sana nao ndio walio tufikisha hapa kwa wizi wao pale bandari na t r a walijazana sana kwa hili na mpongeza magu kulijuwa mapema hata kwanye chama chao kina chaga wengi
 
Jamaa analo bifu na chaga sababu ya kwanza kwamba hawa jamaa awajamchaguwa kipindi kile na sababu ya pili hawa chaga wana undugu sana kwenye kazi pia ni wezi sana nao ndio walio tufikisha hapa kwa wizi wao pale bandari na t r a walijazana sana kwa hili na mpongeza magu kulijuwa mapema hata kwanye chama chao kina chaga wengi
Mangu ni m-Pare kama alivyo Msangi
 
Bado kuna watanzania wanawaza ukabila karne hii???
 
Kuna nafikiri huyu ndiye ambaye anaweza kumrithi IGP SIRO kwa Dar. Mkumbo wa Arusha kurudi Mwanzaaa?Wasalimie Dar kamanda Msangi, Kachero mbobezi.
Hivi jeshi la polisi halizalishi askari wengine wenye uwezo ? Walewale tu !
 
Sio wa kaskazini, bali nazungumzia sie ambao kuanzia jana tumeanza kubadili ratiba za kula hatuli day time mpaka siku 29 au 30 zipite
Labda ndugu yetu wa msoga alimbana sana au alichukuliwa mwanamke na ndugu maana chuki hii ni dhahiri.
 
Back
Top Bottom