Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.

Mkuu Joka Kuu, asante kwa taarifa hii ya Lissu kuandika barua kwa HIP, kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake kwanza ndipo arejee home, nyumbani Tanzania.

Hatua hii ni nzuri na muhimu sana ili angalau Lissu na dereva wake warejee nyumbani ili sasa ndio vyombo vyetu vya uchunguzi ndipo vianze kazi uchunguzi ya kuwabaini wasiojulikana, waliomshambulia Lissu, maana tangu ameshambuliwa vyombo vya uchunguzi vilishindwa kufanya uchaguzi wowote hadi wamhoji Lissu na dereva wake.

Jeshi letu la polisi ni jeshi lenye utu sana, baada tuu ya shambulio, polisi waliarifiwa within minutes, na kutoka eneo la tukio na kituo cha polisi ni just 10 minutes drive kutoka kituo cha polisi hadi kwenye crime scene, lakini polisi walifika baada ya masaa 2, wakakuta Lissu ameisha kimbizwa Dodoma hospital na hawakukuta mtu mwingine yoyote aliyeshuhudia, wala hakuna hata mlio wa risasi uliosikika.

Licha ya shahidi muhimu wa tukio hilo, dereva wa Lissu kutojeruhiwa na alikuwa available siku nzima, ila polisi wetu walingia utu na ubinaadamu wa kutochukua maelezo ili kumpa nafasi shahidi kupumzika na kupumzisha mawazo, watamchukia maelezo wakati wowote kwani maelezo yana haraka gani kuchukuliwa mapema huku watu wana photographic memory hata baada ya miaka 3, watakumbuka every details hata tiny details.

Lissu na dereva wake walipokuwa Nairobi ambapo ni karibu, jeshi letu la polisi liliingia utu wa kutowahoji ili kusubiria wapone. Walipokwenda Belgium kufuatia kule ni ulaya, na rais Magufuli hapendi safari zisizo za muhimu, kwa vile uchunguzi huo sio muhimu na hauna haraka, jeshi letu la polisi lilingia tena huruma kuwaacha hadi wapone na kurejea nyumbani Tanzania ndipo liwahoji na uchunguzi ndipo uanze.

Hivyo sasa wanasubiriwa kwa hamu Tundu Lissu na dereva wake warejee nyumbani nchini Tanzania ndipo uchunguzi wa tukio lile uanze.

To be honest, baada ya mimi kuangalia ile hard talk ya BBC, nilisema hivi
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! - JamiiForums

Hivyo Kamanda Tundu Lissu, Karibu Sana Nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi wako. Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni ulinzi mzuri kuliko Vijana wa Siro.

Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates na theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako hayakutimia, lakini sasa hata ukirejea, wasiojulikana wale, hawawezi tena kuikamilisha tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena.
Hitimisho

Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP kuhusu kumhakikishia usalama wake, kwasababu kwanza just his survival is beyond human beings ability and capabilities, its Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai Yupo, Aliyesimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Aweza, na Ataendelea kumlinda, Usikute yote hayo Lissu anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake, hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"

Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)

Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Kutenda KOSA si KOSA, KOSA ni kurudia KOSA
 
Jamvini (this thread)hapa kuna sala nyingi tu.
Makutano ya watu katika sala ni kanisa.
"YEYE" Kwa kutamkwa katika kanisa yamfanya muumba kufurahi. Furaha yake yabariki.
Na uhakika barua ni sala ya maombi na kama vile Paskali alivyoelezea hapo juu, basi sala hizi zimefika, kweli zimefika.
Aluta continua
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.

Mkuu Joka Kuu, asante kwa taarifa hii ya Lissu kuandika barua kwa HIP, kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake kwanza ndipo arejee home, nyumbani Tanzania.

Hatua hii ni nzuri na muhimu sana ili angalau Lissu na dereva wake warejee nyumbani ili sasa ndio vyombo vyetu vya uchunguzi ndipo vianze kazi uchunguzi ya kuwabaini wasiojulikana, waliomshambulia Lissu, maana tangu ameshambuliwa vyombo vya uchunguzi vilishindwa kufanya uchaguzi wowote hadi wamhoji Lissu na dereva wake.

Jeshi letu la polisi ni jeshi lenye utu sana, baada tuu ya shambulio, polisi waliarifiwa within minutes, na kutoka eneo la tukio na kituo cha polisi ni just 10 minutes drive kutoka kituo cha polisi hadi kwenye crime scene, lakini polisi walifika baada ya masaa 2, wakakuta Lissu ameisha kimbizwa Dodoma hospital na hawakukuta mtu mwingine yoyote aliyeshuhudia, wala hakuna hata mlio wa risasi uliosikika.

Licha ya shahidi muhimu wa tukio hilo, dereva wa Lissu kutojeruhiwa na alikuwa available siku nzima, ila polisi wetu walingia utu na ubinaadamu wa kutochukua maelezo ili kumpa nafasi shahidi kupumzika na kupumzisha mawazo, watamchukia maelezo wakati wowote kwani maelezo yana haraka gani kuchukuliwa mapema huku watu wana photographic memory hata baada ya miaka 3, watakumbuka every details hata tiny details.

Lissu na dereva wake walipokuwa Nairobi ambapo ni karibu, jeshi letu la polisi liliingia utu wa kutowahoji ili kusubiria wapone. Walipokwenda Belgium kufuatia kule ni ulaya, na rais Magufuli hapendi safari zisizo za muhimu, kwa vile uchunguzi huo sio muhimu na hauna haraka, jeshi letu la polisi lilingia tena huruma kuwaacha hadi wapone na kurejea nyumbani Tanzania ndipo liwahoji na uchunguzi ndipo uanze.

Hivyo sasa wanasubiriwa kwa hamu Tundu Lissu na dereva wake warejee nyumbani nchini Tanzania ndipo uchunguzi wa tukio lile uanze.

To be honest, baada ya mimi kuangalia ile hard talk ya BBC, nilisema hivi
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! - JamiiForums

Hivyo Kamanda Tundu Lissu, Karibu Sana Nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi wako. Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni ulinzi mzuri kuliko Vijana wa Siro.

Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates na theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako hayakutimia, lakini sasa hata ukirejea, wasiojulikana wale, hawawezi tena kuikamilisha tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena.
Hitimisho

Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP kuhusu kumhakikishia usalama wake, kwasababu kwanza just his survival is beyond human beings ability and capabilities, its Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai Yupo, Aliyesimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Aweza, na Ataendelea kumlinda, Usikute yote hayo Lissu anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake, hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"

Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)

Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Mmhh mungu wangu , wasiojulikana bado wanaendelea na kazi, hawajachukuliwa hatua zozote, sasa uombe ulinzi kwa aliyeshindwa kukulinda siku ile na aliyeshindwa kuwakamata wasiojulikana si utakuwa unatafuta balaa jingine. Usije ukakuta Kaka yako mkubwa huyu ana unasaba na walioshindwa
 
Pascoo huyu ni mbunge wangu aisee usitake mje mmalize
Chamsingi siro ampe ulinzi waa askari wa 2 kwa siku

Hivi kwani kujibu barua ni vigumu au kuhakisha ulinzi ni vigumu?
Jukumu la polisi wakiongozwa na IGP ni kulinda RAIA na Mali zao
Je siro ameshindwa kazi yake?
Au pale hamna anaejua kuandika barua?
Au hawana hela ya kutuma barua kwenda Belgium?
Jamani tusimlaumu IGP kwa kutojibu barua. Mazingira ya suala hili yanafahamika. Kwa nini IGP ajitie kitanzi kwa suala ambalo hajui mwanzo au mwisho wake? Tusubiri hadi 2026 ndo suala hili linaweza kupiga hatua. Nadhani mmenielewa.
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.

Mkuu Joka Kuu, asante kwa taarifa hii ya Lissu kuandika barua kwa HIP, kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake kwanza ndipo arejee home, nyumbani Tanzania.

Hatua hii ni nzuri na muhimu sana ili angalau Lissu na dereva wake warejee nyumbani ili sasa ndio vyombo vyetu vya uchunguzi ndipo vianze kazi uchunguzi ya kuwabaini wasiojulikana, waliomshambulia Lissu, maana tangu ameshambuliwa vyombo vya uchunguzi vilishindwa kufanya uchaguzi wowote hadi wamhoji Lissu na dereva wake.

Jeshi letu la polisi ni jeshi lenye utu sana, baada tuu ya shambulio, polisi waliarifiwa within minutes, na kutoka eneo la tukio na kituo cha polisi ni just 10 minutes drive kutoka kituo cha polisi hadi kwenye crime scene, lakini polisi walifika baada ya masaa 2, wakakuta Lissu ameisha kimbizwa Dodoma hospital na hawakukuta mtu mwingine yoyote aliyeshuhudia, wala hakuna hata mlio wa risasi uliosikika.

Licha ya shahidi muhimu wa tukio hilo, dereva wa Lissu kutojeruhiwa na alikuwa available siku nzima, ila polisi wetu walingia utu na ubinaadamu wa kutochukua maelezo ili kumpa nafasi shahidi kupumzika na kupumzisha mawazo, watamchukia maelezo wakati wowote kwani maelezo yana haraka gani kuchukuliwa mapema huku watu wana photographic memory hata baada ya miaka 3, watakumbuka every details hata tiny details.

Lissu na dereva wake walipokuwa Nairobi ambapo ni karibu, jeshi letu la polisi liliingia utu wa kutowahoji ili kusubiria wapone. Walipokwenda Belgium kufuatia kule ni ulaya, na rais Magufuli hapendi safari zisizo za muhimu, kwa vile uchunguzi huo sio muhimu na hauna haraka, jeshi letu la polisi lilingia tena huruma kuwaacha hadi wapone na kurejea nyumbani Tanzania ndipo liwahoji na uchunguzi ndipo uanze.

Hivyo sasa wanasubiriwa kwa hamu Tundu Lissu na dereva wake warejee nyumbani nchini Tanzania ndipo uchunguzi wa tukio lile uanze.

To be honest, baada ya mimi kuangalia ile hard talk ya BBC, nilisema hivi
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! - JamiiForums

Hivyo Kamanda Tundu Lissu, Karibu Sana Nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi wako. Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni ulinzi mzuri kuliko Vijana wa Siro.

Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates na theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako hayakutimia, lakini sasa hata ukirejea, wasiojulikana wale, hawawezi tena kuikamilisha tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena.
Hitimisho

Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP kuhusu kumhakikishia usalama wake, kwasababu kwanza just his survival is beyond human beings ability and capabilities, its Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai Yupo, Aliyesimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Aweza, na Ataendelea kumlinda, Usikute yote hayo Lissu anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake, hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"

Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)

Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Paskali unajivunjia heshima kwa bandiko lako uchwara namna hii. Waliotaka kuua Lissu wanajulikana, Pompeo pia alisaidia kumtaja hadharani na akaenda mbali zaidi kwa kumpiga STOP ya kuingia Marekani.
Kwanini unajivunjia heshima yako kwa KUBUMBA BUMBA ushahidi wako wa hovyo? Unafanya haya kwa faida ya nani mpuuzi?
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.

Mkuu Joka Kuu, asante kwa taarifa hii ya Lissu kuandika barua kwa HIP, kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake kwanza ndipo arejee home, nyumbani Tanzania.

Hatua hii ni nzuri na muhimu sana ili angalau Lissu na dereva wake warejee nyumbani ili sasa ndio vyombo vyetu vya uchunguzi ndipo vianze kazi uchunguzi ya kuwabaini wasiojulikana, waliomshambulia Lissu, maana tangu ameshambuliwa vyombo vya uchunguzi vilishindwa kufanya uchaguzi wowote hadi wamhoji Lissu na dereva wake.

Jeshi letu la polisi ni jeshi lenye utu sana, baada tuu ya shambulio, polisi waliarifiwa within minutes, na kutoka eneo la tukio na kituo cha polisi ni just 10 minutes drive kutoka kituo cha polisi hadi kwenye crime scene, lakini polisi walifika baada ya masaa 2, wakakuta Lissu ameisha kimbizwa Dodoma hospital na hawakukuta mtu mwingine yoyote aliyeshuhudia, wala hakuna hata mlio wa risasi uliosikika.

Licha ya shahidi muhimu wa tukio hilo, dereva wa Lissu kutojeruhiwa na alikuwa available siku nzima, ila polisi wetu walingia utu na ubinaadamu wa kutochukua maelezo ili kumpa nafasi shahidi kupumzika na kupumzisha mawazo, watamchukia maelezo wakati wowote kwani maelezo yana haraka gani kuchukuliwa mapema huku watu wana photographic memory hata baada ya miaka 3, watakumbuka every details hata tiny details.

Lissu na dereva wake walipokuwa Nairobi ambapo ni karibu, jeshi letu la polisi liliingia utu wa kutowahoji ili kusubiria wapone. Walipokwenda Belgium kufuatia kule ni ulaya, na rais Magufuli hapendi safari zisizo za muhimu, kwa vile uchunguzi huo sio muhimu na hauna haraka, jeshi letu la polisi lilingia tena huruma kuwaacha hadi wapone na kurejea nyumbani Tanzania ndipo liwahoji na uchunguzi ndipo uanze.

Hivyo sasa wanasubiriwa kwa hamu Tundu Lissu na dereva wake warejee nyumbani nchini Tanzania ndipo uchunguzi wa tukio lile uanze.

To be honest, baada ya mimi kuangalia ile hard talk ya BBC, nilisema hivi
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! - JamiiForums

Hivyo Kamanda Tundu Lissu, Karibu Sana Nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi wako. Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni ulinzi mzuri kuliko Vijana wa Siro.

Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates na theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako hayakutimia, lakini sasa hata ukirejea, wasiojulikana wale, hawawezi tena kuikamilisha tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena.
Hitimisho

Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP kuhusu kumhakikishia usalama wake, kwasababu kwanza just his survival is beyond human beings ability and capabilities, its Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai Yupo, Aliyesimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Aweza, na Ataendelea kumlinda, Usikute yote hayo Lissu anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake, hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"

Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)

Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Amen
Mtetezi yu hai
Ni yule Jana Leo na Milele
 
Kipenga cha urais kimepulizwa Chadema, kumekucha!
Screen-Shot-2019-01-17-at-10.42.26-AM-620x308.png

Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chadema
Tundu Lisu: Nitagombea urais
TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maaendeleo (Chadema)-Bara, amesema atagombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Amesema, ataandika barua ya kuomba ridhaa ya chama chake kugombea kiti cha urais kwenye uchaguzi huo na kwamba, wakiona inafaa na kumpitisha, yupo tayari kupeperusha bendera ya chama hicho
Akizungumza na Mwanahalisi Online leo Jumatano tarehe 3 Juni 2020, lililotaka kujua kama anao mpango wa kugombea urais ndani ya chama chake.
“Nilikuwa nasubiri baraza za chama, nitaandika barua ya kuomba ridhaa ya chama changu nigombee urais,” amesema Lissu
Mapema leo Jumatano, Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika ametangaza kufunguliwa kwa milango kwa wanachama wa chama hicho, wanaotaka kuwania urais kuandika barua kwa katibu mkuu.
Mnyika amesema, milango hiyo imefunguliwa kuanzia leo hadi tarehe 15 Juni 2020 kisha baada ya hapo, watakaokuwa wamejitokeza watapelekwa kamati kuu ya chama hicho kwa hatua zaidi za ndani.
Baada ya tangazo hilo la Mnyika, MwanaHALISI ONLINE limezungumza na Lissu kwa simu akiwa nchini Ubelgiji ambaye amesema, “kama mwanachama mtiifu wa Chadema, nilikuwa nasubiri uongozi wa chama unaohusika, utoe baraka zake kwa wanachama kuanza mchakato wa uchaguzi.”

Mbunge huyo wa zamani wa Singida Mashariki amesema, “kwa vile hizo baraka zimekwisha kutolewa na kwa vile nimekuwa natajwa tajwa na najitaja taja, basi nitafanya kitu ambacho nimekuwa nakisemasema.”

Lissu ambaye amewahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) amesema, “nitamwandikia barua rasmi katibu mkuu wa chama ili kutoa tangazo rasmi kwake.”
“Na vilevile, nitazungumza na umma wa Watanzania na wengine wanaotutakia mema baada ya kuwa nimetangaza nia rasmi na kwa uchache, maswala muhimu ninayoyaona katika uchaguzi huu kwenda mbele,” amesema.

Katika kusisitiza hilo, Lissu amesema, “Nafikiri nitafanya hivyo ndani ya muda huu ambao umetolewa na chama wa kufanya hivyo na kwa vyovyote vile sitawachelewesha.”

Akijibu swali aliloulizwa na MwanaHALISI ONLINE anarejea lini nchini, Lissu amesema, “suala la kurejea nchi linashughurikiwa na wakati mwafaka utakapofika wananchi watapata taarifa.”
Amesema, sheria za Tanzania hazijazungumzia mtu akiwa nje ya nchi hiyo kwa kipindi fulani hatoweza kugombea hivyo hana wasiwasi na hilo.
“Kama nitakuwa mgombea urais kwa niaba ya chama lazima nitakuja Tanzania,” amesema
Lissu amekuwa nje ya Tanzania tangu tarehe 7 Septemba 2017, aliposafirishwa kwenda Hospitali ya Nairobi, Kenya kwa matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 nje ya makazi yake Area D jijini Dodoma.

Mwanasiasa huyo alifikwa na mkasa huo, akitoka kuhudhuria vikao vya Bunge lililokuwa likiendelea jijini humo.

Alipata matibabu Nairobi hadi tarehe 6 Januari 2018 alipohamishiwa Ubelgiji aliko mpaka sasa kwa matibabu zaidi.

Hata hivyo, Lissu amekwisha kusema, amepona na anachosubiri ni kuhakikishiwa mazingira salama ya maisha yake ili yasije kujitokeza kama yaliyomkuta awali.
Source: Mwanahalisi online.
My Take
Tunamsubiria huyu mwamba arejee.
P.
 
Elections 2020 - Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
Naunga mkono hoja kuhusu ndio the best man wa kum challenge rais Magufuli kwasababu Lissu ni zaidi ya Magufuli katika... kama nilivyoeleza hapa
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

However, I'd like to differ kwenye Lissu kumshinda Magufuli!. Lissu will only challenge but not to win but just to challenge na sio kumwangusha Magufuli kwasababu...

Ila hili wimbi la watia nia wa Chadema hadi Mbowe, tells me kuwa Lissu ni Just a Pacemaker and not a contender kwasababu ana mlolongo wa kesi za jinai, hivyo hii hoja yangu kumhusu Lissu na kurejea kwake, kwangu is still valid
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!
Usikute wanamngoja kwa hamu!, Lissu anajua!, Chadema wanajua,... wanamsubiri arudi, watasubiri sana!.

Hivyo bandiko hili litaendelea kusimama mpaka siku Lissu ame touch down

P
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Ningekuwa na mamlaka ndani ya CHADEMA Mh Lissu angepitishwa mapema asubuhi bila kupoteza muda.Nafikiri ni muda muafaka haswa ndani ya CHADEMA kuacha kupoteza muda Mh Lissu anauzika kirahis zaidi ukilinganisha na wagombea wengine hasa katika majira haya yanayo hitaji mtu wa kushindana na Mh Magufuli ambaye katika kipindi cha miaka mitano amehakikisha upinzani haupati nafasi ya kusikika huku yeye binafsi akitumia vyombo vya habari sana.
Mkuu Ngongo, kwanza naunga mkono hoja ya presidential candidature ya Tundu Lissu kwasababu ni presidential material, hata mimi nilishauri
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Ila baada ya kuanza kufunguka funguka huko Ughaibuni, niliingia mashaka kama atarejea home
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Tundu Lissu akatoa conditions to be met kabla ya kurejea, na mimi nikashauri
Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Na alipoamua kugombea kutokea Ughaibuni nika comment
Elections 2020 - Je, kuna uwezekano kutangaza nia kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa baadhi, kunatumika kama kichaka cha kujifichia aibu ya kushindwa ubunge?.

Na mwisho nikawatajia mgombea urais wa Chadema, sio Lissu!.

Elections 2020 - Jicho la Tatu: Mgombea Urais CHADEMA ni Freeman Mbowe! Tundu Lissu Pacemaker! Nyalandu ni Serious Contender, Msigwa anatania, Dkt. Mayrose Majinge...

P
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.

Mkuu Joka Kuu, asante kwa taarifa hii ya Lissu kuandika barua kwa IGP, kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake kwanza ndipo arejee home, nyumbani Tanzania.

Hatua hii ni nzuri na muhimu sana ili angalau Lissu na dereva wake warejee nyumbani ili sasa ndio vyombo vyetu vya uchunguzi vianze kazi uchunguzi ya kuwabaini wasiojulikana, waliomshambulia Lissu, maana tangu ameshambuliwa vyombo vya uchunguzi vilishindwa kufanya uchaguzi wowote hadi wamhoji Lissu na dereva wake!, this means if they perished, ingekuwa case closed!.

Jeshi letu la polisi ni jeshi lenye utu sana, baada tuu ya shambulio, polisi waliarifiwa within minutes, na kutoka eneo la tukio na kituo cha polisi ni just 10 minutes drive kutoka kituo cha polisi hadi kwenye crime scene, lakini polisi hawakuwa na haraka kufuatia eneo hilo kuwa ni secured area, hivyo walifika baada ya masaa 2, wakakuta Lissu ameisha kimbizwa Dodoma hospital na hawakukuta mtu mwingine yoyote aliyeshuhudia, wala hakuna hata na mlio wa risasi uliosikika!.

Licha ya shahidi muhimu wa tukio hilo, dereva wa Lissu kutojeruhiwa na alikuwa available siku nzima, ila polisi wetu walingia utu na ubinaadamu wa kutochukua maelezo yeke ili kumpa nafasi ya kutosha shahidi huyo pekee, kupumzika na kupumzisha mawazo, watamchukia maelezo wakati wowote kwani maelezo yana haraka gani ? Hadi kuchukuliwa mapema huku watu wana photographic memory hata baada ya miaka 3, watakumbuka every details hata tiny details!.

Lissu na dereva wake walipokuwa Nairobi ambapo ni karibu, jeshi letu la polisi liliingia utu wa kutowahoji ili kusubiria wapone. Walipokwenda Belgium kufuatia kule ni ulaya, na rais Magufuli hapendi safari zisizo za muhimu, kwa vile uchunguzi huo sio muhimu kivile na hauna haraka, jeshi letu la polisi lilingia tena huruma kuwaacha hadi wapone na kurejea nyumbani Tanzania ndipo liwahoji na uchunguzi ndipo uanze.

Hivyo sasa wanasubiriwa kwa hamu Tundu Lissu na dereva wake warejee nyumbani nchini Tanzania ndipo uchunguzi wa tukio la shambulio lile uanze.

To be honest, baada ya mimi kuangalia ile hard talk ya BBC, nilisema hivi
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! - JamiiForums

Hivyo Kamanda Tundu Lissu, Karibu Sana Nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya IGP Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi na usalama wako, Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni mlinzi mzuri kuliko vijana wa Siro!.

Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates na theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako, yalikuwa ni malengo fulani ambayo hayakutimia, hivyo unawasiwasi ukirejea, watakamilisha, nakuhakikishia kuwa hata ukirejea sasa bila hakikisho la IGP Sirro, wale wasiojulikana wako, hawawezi tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni za only one try, iki fail, ndio basi tena, ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena.

Hitimisho
Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP Sirro kuhusu kumhakikishia ulinzi na usalama wake, kwasababu kwanza just his survival tuu alone, is beyond human beings ability and capabilities, it's a miracle from The Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai mpaka leo, Yupo!, Aliyemsimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo!, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Mwenye Aweza, awezaye yote! Namhakikishia YEYE Awezaye yote, Ataendelea kumlinda. Na usikute yote hayo Lissu aliyopitia na anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake kwa watu wa mataifa, na hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"

Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)

Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye uthubutu na ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.

Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu, him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela.
Hongera zake.

Paskali
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
 
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!


Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali

Kuna watu nimewaambia wafungue macho: inawezekana kabisa migogoro, malumbano, minyukano n.k ikiwamo fujo katika medani za kisiasa zikaepukwa pale walio pande zote za sheria wanapotii na kufanya mambo yao in a civilised manner. A balanced approach from the enforcer as well as from the enforcee. Tuheshimiane na kulindana. Hakuna aliye juu ya sheria zinazoongoza nchi. Tutimize wajibu wetu kiweledi na responsibly. Rogue elements sio wengi.
Sipendi nchi yangu pendwa itumbukie kwenye jamhuri ya midizi.

Thx uncle P
 
Back
Top Bottom