Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Mkuu hiyo conversation na mkewe ya kurudi nyumbani anaianzia wapi? Watoto wako shule za ulaya, yeye amepata kibarua sehemu, mkewe vivyo hivyo, maisha mazuri ya amani na utulivu, alafu leo anasema tuanchane na maisha ya ulaya turudi kukimbizana na akina afande Kingai bongo, hatoeleweka.

Ulaya kuzuri boss, hususani ukiwa na kazi ya kukuweka mjini. Hata yule wa Canada na yule mwandishi wa habari hawarudi ng'o! Labda 2025, watarudi tu kugombea alafu matokeo yakitoka kama wameshindwa basi wanakwea pipa haooo, wanarudi zao majuu.
Mtu apigwe risasi mchana kweupe kishamba Namna hiyo aje kijinga tu! Tz ilikuwa km nchi moja hapo jirani na Uhuru Kenyata!
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.

Hivyo Kamanda Tundu Lissu, "East, West, home is best" , karibu sana nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya IGP Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi na usalama wako, Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni mlinzi mzuri kuliko vijana wa Siro!.

Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates and proof ya theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako, yalikuwa ni malengo fulani ambayo hayakutimia, hivyo unawasiwasi ukirejea, watakamilisha, nakuhakikishia kuwa hata ukirejea sasa bila hakikisho la IGP Sirro, wale wasiojulikana wako, hawawezi tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni za only one try, iki fail, ndio basi tena, ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena and by now watakuwa wanashughulikiwa na kitu kinachoitwa karma, mmoja baada ya mwingine!.

Hitimisho
Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP Sirro kuhusu kumhakikishia ulinzi na usalama wake, kwasababu kwanza just his survival tuu alone, muujiza beyond human beings ability and capabilities, it's a miracle from The Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai mpaka leo, Yupo!, Aliyemsimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo!, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Mwenye Uweza, awezaye yote! Namhakikishia Lissu arejee tuu nyumbani, issues za ulinzi wake na usalama wake, amwachie yule YEYE Awezaye yote!, Ataendelea kumlinda. Na usikute yote hayo Lissu aliyopitia na anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake kwa watu wa mataifa, na hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"

Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)

Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Mayalla yeye tujiulize yeye kayajuaje Mambo ya Chadema wakati sio mwana Chadema kumbuka anayoyajua ndani ya Chadema hua ni Yale mabaya tuu hajawahi ona mazuri hata siku Moja
Mkuu MAPITO Mwanza , vipi hili sii jema?.
P
 
Wanabodi,

Hitimisho
Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP Sirro kuhusu kumhakikishia ulinzi na usalama wake, kwasababu kwanza just his survival tuu alone, muujiza beyond human beings ability and capabilities, it's a miracle from The Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai mpaka leo, Yupo!, Aliyemsimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo!, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Mwenye Uweza, awezaye yote! Namhakikishia Lissu arejee tuu nyumbani, issues za ulinzi wake na usalama wake, amwachie yule YEYE Awezaye yote!, Ataendelea kumlinda. Na usikute yote hayo Lissu aliyopitia na anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake kwa watu wa mataifa, na hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"

Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)

Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Dear School mate Tundu Lissu, najua umepitia makubwa. Welcome back home. Nakuomba sana upunguze kidogo kuliishi jina lako, usimsumbue huyu Mama kama ulivyomsumbuaga yule Madam, Mwenyekiti wako Mbowe tayari ameisha onyesha uungwana na ustaarabu mkubwa, wa hali ya juu@, please do the same!, tufanye siasa za kiungwana na kistaarabu. Kubebwa bebeka, ukipedwa pendeka, ukishikwa shikamana, ukiaminiwa jiaminishe!.
Yaliyopita si ndwele, samehe, tugange yajayo tusonge mbele!.
Welcome back home.
Your school mate
Pasco
 
34 Reactions
Reply
Back
Top Bottom