Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,535
- 1,722
Mtu apigwe risasi mchana kweupe kishamba Namna hiyo aje kijinga tu! Tz ilikuwa km nchi moja hapo jirani na Uhuru Kenyata!Mkuu hiyo conversation na mkewe ya kurudi nyumbani anaianzia wapi? Watoto wako shule za ulaya, yeye amepata kibarua sehemu, mkewe vivyo hivyo, maisha mazuri ya amani na utulivu, alafu leo anasema tuanchane na maisha ya ulaya turudi kukimbizana na akina afande Kingai bongo, hatoeleweka.
Ulaya kuzuri boss, hususani ukiwa na kazi ya kukuweka mjini. Hata yule wa Canada na yule mwandishi wa habari hawarudi ng'o! Labda 2025, watarudi tu kugombea alafu matokeo yakitoka kama wameshindwa basi wanakwea pipa haooo, wanarudi zao majuu.