Oluoch
Senior Member
- Aug 30, 2010
- 134
- 29
Damu ya mtu asiye na hatia inalia,haki inabanwa na wachache. Polisi wa Tanzania sawa na wale askari wa Afrika kusini waliowafyatulia risasi wachimbaji wa mgodi wa Marikana....utu wa Mtanzania uko wapi??maadili ya Jeshi la Polisi yako wapi?? Uwajibikaji wa RPC na Waziri uko wapi??...ama kweli ni heri mkoloni mweupe kuliko mweusi....RIP Mwangosi