Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 370,954
- 858,893
- Thread starter
- #21
Kachezewa shere! Aliwahi kutamka kwamba yeye ndio waziri wa fedha mpaka 2030 na baada ya hapo atagombea urais"Kamalizwa na nduguye."
Huyo ni ndugu wa namna gani anayetafuta kumhadaa na kumtumia nduguye kusafisha uchafu?
Mwigulu yupo 'desperate' sana na hii nafasi FEKI ya Waziri Mkuu aliyopewa.
Inawezekana ule uwaziri wa fedha alitumika sana kufunika mauchafu mengi kuhusu pesa za nje kuingizwa ndani; ndiyo ikawa zawadi ya Uwaziri mkuu FEKI!
Kuna siku mambo haya yatajifunua tu, watu watajuwa.