Kamalizwa na nduguye

Kamalizwa na nduguye

Mie huwa najiuliza kuwa hotuba si anaandikiwa? Vipi huwa hazichujwi kabla ya kufika sehemu ya kutamkwa? Je yeye binafsi hawezi chuja ni atamke na nn aache??
Ametanguliza hisia mbele Zaidi ndio maana ameishia kuchamba Zaidi kuliko kutoa hotuba.
 
Mwambie kilaza wa kimataifa Samuya ajaribu hata kwa bahati mbaya alifungie Kanisa Katoliki kama alivyofanya uhuni kwa Gwajima, ndio atajua anapokea maelekezo au hapokei.
Kwa nini alifungie? Tutasali wapi waumni zaidi ya 12 Milioni tuliopo Tanzania?
 
TEC iko kuanzia miaka ya mkoloni 1956 na imekuwa na ma Katibu Wakuu wengi tu. Lakini Katibu Mkuu Fr Charles Kitima ndiye maarufu. Umaarufu wake unatokana na kujikita kwenye siasa badala ya kazi ya kuongoza roho za waumini wa RC.

Ni bora tu avue kanzu avae magwanda ya khaki kama Lissu na Dr Slaa halafu aje apambane na wanasiasa wenzie. Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga janusa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa
Kumbe kuongea ukweli ni siasa ila kuongea uongo ndo sio siasa???🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
TEC iko kuanzia miaka ya mkoloni 1956 na imekuwa na ma Katibu Wakuu wengi tu. Lakini Katibu Mkuu Fr Charles Kitima ndiye maarufu. Umaarufu wake unatokana na kujikita kwenye siasa badala ya kazi ya kuongoza roho za waumini wa RC.

Ni bora tu avue kanzu avae magwanda ya khaki kama Lissu na Dr Slaa halafu aje apambane na wanasiasa wenzie. Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga janusa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa

Unajifanya unalijua kanisa katoliki sana lakini ukweli uko wazi kuwa hulijui : wala historia ya TEC huifahamu!! Kukuonesha tu kuwa huifahamu historia ya TEC nitakuuliza swali jepesi ; Je unafahamu kuwa Dr. Wilbrod Slaa , katibu Mkuu Mstaafu wa Chadema aliwahi kuwa katibu mkuu wa TEC?
Sometimes keeping quiet is better than shouting only to show your ignorance!
 
Unajifanya unalijua kanisa katoliki sana lakini ukweli uko wazi kuwa hulijui : wala historia ya TEC huifahamu!! Kukuonesha tu kuwa huifahamu historia ya TEC nitakuuliza swali jepesi ; Je unafahamu kuwa Dr. Wilbrod Slaa , katibu Mkuu Mstaafu wa Chadema aliwahi kuwa katibu mkuu wa TEC?
Sometimes keeping quiet is better than shouting only to show your ignorance!
Ninajua kuwa Dr Slaa alikuwa Katibu Mkuu wa TEC hadi mwaka 1990 wakati wa ziara ya Pope John Paul II. Ninajuwa pia kuwa Dr Slaa ni mzazi mwenzie na Rose Kamili aliyekuwa mwanasiasa wa CHADEMA kutoka Hanang na kwamba alizaa watoto akiwa bado Padre.

Uliza swali jingine
 
Sikutegemea ungekuwa nguruwe hapo mwanzo. Kumbe ulipakwa wanja na 'lipstick' na huyo mfugaji wako Samia uonekane unapendeza wakati ule ili uje JF kumfanyia ulaghai ambao ndiyo kawaida yake maisha yake yote!

Baada ya hadaa na uongo mwingi na mauaji yote yaliyofanyika, sura yake halisi, na wewe mfugo wake (nguruwe) vimeonekana bayana.
Mitano tena kwa Samia hadi 2030
 
Kwahiyo Samia kazungukwa na TEC, kishoto yupo "Guys" (ambaye ana mahusiano mazuri na Katoliki) kulia kuna Nchimbi .

Samia anaponaje kulamba bungo?? (In Lisu's voice).
 
Kwa hotuba ya jana ya Samuya, amewaweka kwenye wakati mgumu sana wasaidizi wake (mawaziri, wakuu wa mikoa n.k), maana walikuwa washaanza kucheza na saikolojia za watu na kumtenganisha mkuu wao na yale mauaji na kuhalalisha haramu, ila amekuja mwenyewe kavuruga vuruga, sijui watamlinda kwa maneno gani…ndo maana wakati anaropoka pale mbele Nchimbi na Mwigulu waliinamisha vichwa..ni aibu tupu
Kabisa. Nahisi hawakuamini masikio yao.. Ni aibu sana ilikuwa
 
TEC iko kuanzia miaka ya mkoloni 1956 na imekuwa na ma Katibu Wakuu wengi tu. Lakini Katibu Mkuu Fr Charles Kitima ndiye maarufu. Umaarufu wake unatokana na kujikita kwenye siasa badala ya kazi ya kuongoza roho za waumini wa RC.

Ni bora tu avue kanzu avae magwanda ya khaki kama Lissu na Dr Slaa halafu aje apambane na wanasiasa wenzie. Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga kanisa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa
Nyie machawa ndio mnawafanya watu kuwa maarufu. Mimi masuala ya dini sifatilii, sijawahi kumjua kiongozi yoyote wa TEC. Infact hata hiyo press ya Kitima sikuiangalia kuanzia mwanzo. Baada ya mayowe ya CCM na nyie chawa ndio nikamjua uyo Kitima nakutafuta hiyo pressyake nijue aliongea nini.

Mnawapa watu umaarufu ntyie wenyewe bila kujua. Yule dogo chavala mliempa kesi ya uhaini watu wengi tu tulikua hata hatumjui kabla ya kukamatwa
 
Padri Kitime kanyooka Sana! Hakutaka konakona wala pindapinda kama pindo la kaniki😀🙌🏿

Kaweka wazi, ulikuwa mwaliko binafsi na mazungumzo yalikuwa binafsi! Hasa ikizingatiwa wanatoka sehemu moja
Alimpigia simu akimuomba afike ofisini naye akatii, wakaongea pia yaliyotokea October 29 na way forward! 'Lakini yalikuwa mazungumzo binafsi' kwa maana ambayo haikunenwa ilikuwa ni personal consultation

Mjamaa alikuwa anataka aibiwe siri pia baraza linasemaje huko.. Padre Kitima kaweka wazi pia... Jamaa ana mahusiano mazuri ya kitambo na wao!😎

Padre hakutaka kuonekana mzushi na ndumilakuwil! Hii ni kwa maslahi yake binafsi, taasisi anayoitumikia na nafasi aliyo nayo! Nyeupe kaita nyeupe na nyekundu kaita nyekundu.. Kafanya vema Sana na maswali yatakoma LAKINI kamharibia mwana vibaya Sana

Pengine kalijua hilo ama la lakini ilibidi ajiponye yeye kabla ya kumponya mwingine.. Bahati mbaya Sana ponya ya mwingine imeponyoka!

Kwa ile press ya jana na namna taasisi ilivyobagazwa unadhani mwanetu muda huu atakuwa na hali gani?


View: https://www.facebook.com/share/v/14UdcQxEerj/

Wakumbushe hao mashehe ubwabwa: huyo mtumishi aliyenyooka anaitwa Father Kitima, sio Kitime!
 
TEC iko kuanzia miaka ya mkoloni 1956 na imekuwa na ma Katibu Wakuu wengi tu. Lakini Katibu Mkuu Fr Charles Kitima ndiye maarufu. Umaarufu wake unatokana na kujikita kwenye siasa badala ya kazi ya kuongoza roho za waumini wa RC.

Ni bora tu avue kanzu avae magwanda ya khaki kama Lissu na Dr Slaa halafu aje apambane na wanasiasa wenzie. Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga kanisa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa
Na Bakwata naijua ya Hemed Bin Jumaa Bin Hemed ila ya huyu imejikita kwenye kutetea ujinga
 
TEC iko kuanzia miaka ya mkoloni 1956 na imekuwa na ma Katibu Wakuu wengi tu. Lakini Katibu Mkuu Fr Charles Kitima ndiye maarufu. Umaarufu wake unatokana na kujikita kwenye siasa badala ya kazi ya kuongoza roho za waumini wa RC.

Ni bora tu avue kanzu avae magwanda ya khaki kama Lissu na Dr Slaa halafu aje apambane na wanasiasa wenzie. Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga kanisa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa
Sadaka zinatolewa ili padri ale vizuri, ashibe na akemee uovu popote pale unapotendeka,unapofikiriwa na unapopangwa kwa maslahi mapana ya roho za binadamu zenye utambuzi wa MUNGU ndani yao.
 
Nyie machawa ndio mnawafanya watu kuwa maarufu. Mimi masuala ya dini sifatilii, sijawahi kumjua kiongozi yoyote wa TEC. Infact hata hiyo press ya Kitima sikuiangalia kuanzia mwanzo. Baada ya mayowe ya CCM na nyie chawa ndio nikamjua uyo Kitima nakutafuta hiyo pressyake nijue aliongea nini.

Mnawapa watu umaarufu ntyie wenyewe bila kujua. Yule dogo chavala mliempa kesi ya uhaini watu wengi tu tulikua hata hatumjui kabla ya kukamatwa
Kama hujawahi kumjua Kitima pita kule!!
 
Back
Top Bottom