GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,605
- 108,978
Mwandishi wa huu Uzi Tukuka GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC lia lia hata Wenzake akina Dada Nifah, Bishoo adriz, Rafiki yangu Bila bila na Popoma Takatifu Tate Mkuu wanajua hilo hadi na wana JamiiForums wote.
Ni imani yangu wana Yanga SC Wenzangu mtanijibu nwana Yanga SC Mwenzenu GENTAMYCINE kwani wana Simba SC Wachokozi na wenye Wivu nasi Wanahoji na Kuliongelea hili mno na kiukweli Wananikera hivyo nataka tuwanyooshe ili waachane na Kijicho chao dhidi yetu.
Na nawaambia wana Simba SC mliopo hapa JamiiForums kuwa Kesho Ijumaa ndiyo mtatujua Yanga SC kwani tunaenda Kuwafunga Al Ahly Goli 7 au 8 ili Wanyamaze na hakika Watatukoma.
Yanga SC Daima Mbele Nyuma Mwiko.
Ni imani yangu wana Yanga SC Wenzangu mtanijibu nwana Yanga SC Mwenzenu GENTAMYCINE kwani wana Simba SC Wachokozi na wenye Wivu nasi Wanahoji na Kuliongelea hili mno na kiukweli Wananikera hivyo nataka tuwanyooshe ili waachane na Kijicho chao dhidi yetu.
Na nawaambia wana Simba SC mliopo hapa JamiiForums kuwa Kesho Ijumaa ndiyo mtatujua Yanga SC kwani tunaenda Kuwafunga Al Ahly Goli 7 au 8 ili Wanyamaze na hakika Watatukoma.
Yanga SC Daima Mbele Nyuma Mwiko.